Jumaa Aweso: Nilipomaliza Chuo, kazi yangu ya kwanza ilikuwa Ubunge lakini niliaminiwa

Jumaa Aweso: Nilipomaliza Chuo, kazi yangu ya kwanza ilikuwa Ubunge lakini niliaminiwa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mimi nimemaliza chuo kazi yangu ya kwanza ni Ubunge, lakini wewe na Hayati Dkt. Magufuli mliniamini kuwa Naibu Waziri leo ni Waziri wa Maji sio jambo jepesi, mimi Mama yangu ni Mama ntilie kabisa lakini umeniamini na kunipa dhamana hii kubwa

Mh. Rais uliniita na kuniambia Aweso naomba unisikilize na kunielewa, kote nilikopita changamoto kubwa ni maji, ukasema waathirika wakubwa na changamoto ya maji ni akina mama wanatembea umbali mrefu, wanamuacha Baba na baba yeye anachotaka kuoga.

aweso.jpg
 
Zao la Pugu boys kama sikosei
ila wanachokosea ni pale wanapojinasibu kuwa wanatoka familia maskini.matendo ya mtu ni hulka angalia wazir wa fedha alivyotumaliza kwenye tozo.je kama yy pia ni mtoto wa mkulima amewezaje kuwageuka watoto wa wakulima na kuwawekea tozo kwenye miamala.ukiwa na nyumba ya tembe ukaweka umeme unapigwa propery tax hata kama unaflemu za vyumba vitatu nakila chumba kina mita yake kila fremu chumba kinachanjwa kodi bila kujali ni jengo moja bali limegawanywa tu ktk vyumba ndo maanda viongozi wengi wanadhani kwa kuvaa tu nguo zenye nembo ya bendera ya taifa wao ni wazalendo la hasha watu hao ni hatari sana tuwe makini nao.nembo hiyo ni chaka tu la kufanya maovu yao yasionekanr
 
Kutoka familia masikini sio sifa na wala sio tiketi ya kuonewa huruma na wala sio tiketi ya wewe kuwa unafanya kazi kwa bidii..

Ni makosa gradute ambaye ametoka shule tu hana exposure wala experience kumpa dhamana kama hiyo kuwatoa watanzania shimoni....Nafasi hizo zinahitaji manguli waliopambana kwenye ground na kuwa na exposure ya kutosha then ndio wapande kwenye vyeo hivyo...

Huwezi kuwa waziri wakati hakuna mahala ulipowahi kuwa kiongozi hata kuongoza watu 100 nakuleta mafanikio yaliyotakana na utendaji wako...
 
Mimi nimemaliza chuo kazi yangu ya kwanza ni Ubunge, lakini wewe na Hayati Dkt. Magufuli mliniamini kuwa Naibu Waziri leo ni Waziri wa Maji sio jambo jepesi, mimi Mama yangu ni Mama ntilie kabisa lakini umeniamini na kunipa dhamana hii kubwa

Mh. Rais uliniita na kuniambia Aweso naomba unisikilize na kunielewa, kote nilikopita changamoto kubwa ni maji, ukasema waathirika wakubwa na changamoto ya maji ni akina mama wanatembea umbali mrefu, wanamuacha Baba na baba yeye anachotaka kuoga.

Ni kweli Mh waziri namfahamu mama yako ana kasehemu ka mama nitilie pale ng'ambo ukivuka pantoni upande wa pili ukitoka forodha, na hata nimewahi kunywa chai hapo kweye huo mgahawa, nilikuwa sijui nikaambiwa huyu mama ndie mama yake mbunge wetu. Pangani ni mahali pazuri sana tatizo barabara kuu ya kutoka Tanga mjini, naamini ikikamilika basi mambo yatakuwa shwari, na mwisho pale juu kuna hoteli inaoza ilikuwa bonge la hoteli na niliambiwa hata ndege ndogo zilikuwa zinatua hapo nadhani iliitwa Mashado kama niko sahihi nasikia wamiliki wake ni wale wenye kiwanda cha mbolea cha Minjingu, tafadhali fanya juu chini tafuteni wawekezaji wengine ,naona jamaa wameshindwa. Pangani mumekalia uchumi, mngeweza kuifanya Pangani iwe zaidi ya Zanzibar, kosa lingine ni kukarabati au kubomoa majengo ya kale ambayo yanahistoria kama vile Custom house mumeibadili sana hadi inakosa asili yake, na hata posta ya kwanza hapa Afrika mashariki mumeiharibu .
 
Mtoto wa Mama Ntilie!!! Ila viongozi wa Tanzania bhna too Comedian😂😂😂😂
 
Mimi nimemaliza chuo kazi yangu ya kwanza ni Ubunge, lakini wewe na Hayati Dkt. Magufuli mliniamini kuwa Naibu Waziri leo ni Waziri wa Maji sio jambo jepesi, mimi Mama yangu ni Mama ntilie kabisa lakini umeniamini na kunipa dhamana hii kubwa

Mh. Rais uliniita na kuniambia Aweso naomba unisikilize na kunielewa, kote nilikopita changamoto kubwa ni maji, ukasema waathirika wakubwa na changamoto ya maji ni akina mama wanatembea umbali mrefu, wanamuacha Baba na baba yeye anachotaka kuoga.

SINTA NDIO KIBOKO WAO
 
ila wanachokosea ni pale wanapojinasibu kuwa wanatoka familia maskini.matendo ya mtu ni hulka angalia wazir wa fedha alivyotumaliza kwenye tozo.je kama yy pia ni mtoto wa mkulima amewezaje kuwageuka watoto wa wakulima na kuwawekea tozo kwenye miamala.ukiwa na nyumba ya tembe ukaweka umeme unapigwa propery tax hata kama unaflemu za vyumba vitatu nakila chumba kina mita yake kila fremu chumba kinachanjwa kodi bila kujali ni jengo moja bali limegawanywa tu ktk vyumba ndo maanda viongozi wengi wanadhani kwa kuvaa tu nguo zenye nembo ya bendera ya taifa wao ni wazalendo la hasha watu hao ni hatari sana tuwe makini nao.nembo hiyo ni chaka tu la kufanya maovu yao yasionekanr
Nikusahihishe kidogo.
Mwigulu hawezi kupitisha tozo mwenyewe, ni maamuzi ya serikali nzima, yeye ni msimamizi tu.
Kosa la Mwigulu ni kukosa hekima kuisemea tozo.
Hawezi kusema tuhamie Burundi.
 
Ni kweli Mh waziri namfahamu mama yako ana kasehemu ka mama nitilie pale ng'ambo ukivuka pantoni upande wa pili ukitoka forodha, na hata nimewahi kunywa chai hapo kweye huo mgahawa, nilikuwa sijui nikaambiwa huyu mama ndie mama yake mbunge wetu. Pangani ni mahali pazuri sana tatizo barabara kuu ya kutoka Tanga mjini, naamini ikikamilika basi mambo yatakuwa shwari, na mwisho pale juu kuna hoteli inaoza ilikuwa bonge la hoteli na niliambiwa hata ndege ndogo zilikuwa zinatua hapo nadhani iliitwa Mashado kama niko sahihi nasikia wamiliki wake ni wale wenye kiwanda cha mbolea cha Minjingu, tafadhali fanya juu chini tafuteni wawekezaji wengine ,naona jamaa wameshindwa. Pangani mumekalia uchumi, mngeweza kuifanya Pangani iwe zaidi ya Zanzibar, kosa lingine ni kukarabati au kubomoa majengo ya kale ambayo yanahistoria kama vile Custom house mumeibadili sana hadi inakosa asili yake, na hata posta ya kwanza hapa Afrika mashariki mumeiharibu .
Komenti ya DHAHABU 😍
 
Kutoka familia masikini sio sifa na wala sio tiketi ya kuonewa huruma na wala sio tiketi ya wewe kuwa unafanya kazi kwa bidii..

Ni makosa gradute ambaye ametoka shule tu hana exposure wala experience kumpa dhamana kama hiyo kuwatoa watanzania shimoni....Nafasi hizo zinahitaji manguli waliopambana kwenye ground na kuwa na exposure ya kutosha then ndio wapande kwenye vyeo hivyo...

Huwezi kuwa waziri wakati hakuna mahala ulipowahi kuwa kiongozi hata kuongoza watu 100 nakuleta mafanikio yaliyotakana na utendaji wako...
Huko ni kukariri....

Kwani ni lazima iwe hivyo USEMAVYO?!!

Maisha si "status quo" tu.....

SIEMPRE JMT
 
Back
Top Bottom