Wiki iliyopita nilijiandikisha online kupata chanjo ya Covid Amana Hosp leo Jmosi Aug 7. Lkn nilipofika pale tuliambiwa leo hawatoi chanjo hadi J'tatu.
Baadaye jamaa alinitonya niende Aga Khan. Nikaenda, sikuchukua dak 15 nikapata chanjo.
Inakuwaje private hospital wanajali zaidi wananchi kuliko govt hospital?
Na hili suala la kujiandikisha online kumbe magumashi tu.
Baadaye jamaa alinitonya niende Aga Khan. Nikaenda, sikuchukua dak 15 nikapata chanjo.
Inakuwaje private hospital wanajali zaidi wananchi kuliko govt hospital?
Na hili suala la kujiandikisha online kumbe magumashi tu.