Una wazimu. Kwahiyo kama ndo kujiuza nikajiuze waungwana? nitolee ushamba wako mimi utakuta hata hupajui ndo maana akili yako ya kujiuza imekutuma watu wanajiuzaga na hapoNikama unatafuta wateja kwa nguvu baada ya mambo kuwa magumu mdada
Iko wapi hii nikapunguze streesHuyu Dj hapa Waungwana Pub ananikosha sana mpaka ananifanya nisahau kama kesho siku ya kazi.
Hela ya kuunga unga ipo,wewe chura ipo my dear?[emoji4][emoji4][emoji4]Unataka chura una hela? Maana sio utake vitu vizuri wakati mfuko haukusupport
Loooooh!!!.......nizawadie hapo kidogo tu my dear kwa sababu siyo kwa kuzunguka huku!!Ya kutosha sema sijaanza kuitumia ipo tu kwa ajili ya urembo [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nimecheka sana.Ulitaka nianzishe uzi nimepanda fisi kama wewe?
Huku sasa kutiana unyonge tu!Ya kutosha sema sijaanza kuitumia ipo tu kwa ajili ya urembo [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Dah.....ndiyo raha ya pombe[emoji87] [emoji13] [emoji41]Huyu Dj hapa Waungwana Pub ananikosha sana mpaka ananifanya nisahau kama kesho siku ya kazi.
Basi naomba niipige(chura) kakofi kadogo tu jamani!Hapa napatunza bado.
Ndio wapi huko?!!!Huyu Dj hapa Waungwana Pub ananikosha sana mpaka ananifanya nisahau kama kesho siku ya kazi.
Kuna rahaa yake kuipiga kakofi!![emoji6]