Mimi niko nauguliaa hangover siku ya pili leoo yanii sina mzuka wowote niko ndanii tuSiku imepoa sana utafikiri mboga isiyo na viungo[emoji41][emoji41]
Bora nijiwashe vyombo tu.[emoji28][emoji28]
Imeisha hiyo[emoji102][emoji102][emoji102]
Dabo Kiki ndiyo nini tena?Siku imepoa sana utafikiri mboga isiyo na viungo[emoji41][emoji41]
Bora nijiwashe vyombo tu.[emoji28][emoji28]
Imeisha hiyo[emoji102][emoji102][emoji102]
Hahahahahahahahaaahahahahha aisee nihataa sana. Vina weza kukuaibishaa mimi juzii jamaa nilikuwa sehemuu nikaona wadau wana gongaa nax a.k.a banana na mimi nikaliunga kwa siku mbiliii leoo ndo najiona afadhaliiii.Hizi pombe za kwenye vichupa za buku mbili sio wajomba! Nilifuliliza vimondi Kila siku vinne vinne kwa wiki
Kilichonipata wiki hii leo ndio naweza kunywa mtori!
Usijaribu kuzidisha hata mbili tu. Utaona motooDabo Kiki ndiyo nini tena?
We usiki shindilia ugalii mwingii na maji mengii utaamka poa kabisaaNafikiri hiyo hali nitakumbana nayo kesho mkuu.
Pole lkni
Mimi nilijua hivyo! Au wewe ni wa pande zipi?Kwani mimi ni wa kaskazini mkuu??
Kunywa maziwaMimi niko nauguliaa hangover siku ya pili leoo yanii sina mzuka wowote niko ndanii tu