Jumapili hii imepoa sana bora nikajinywee dabo kick zangu nitulie

Hizi pombe za kwenye vichupa za buku mbili sio wajomba! Nilifuliliza vimondi Kila siku vinne vinne kwa wiki

Kilichonipata wiki hii leo ndio naweza kunywa mtori!
 
Hizi pombe za kwenye vichupa za buku mbili sio wajomba! Nilifuliliza vimondi Kila siku vinne vinne kwa wiki

Kilichonipata wiki hii leo ndio naweza kunywa mtori!
Hahahahahahahahaaahahahahha aisee nihataa sana. Vina weza kukuaibishaa mimi juzii jamaa nilikuwa sehemuu nikaona wadau wana gongaa nax a.k.a banana na mimi nikaliunga kwa siku mbiliii leoo ndo najiona afadhaliiii.


Unaweza kuwa chizii usipo angalia. Inabidi mtu una pumzikaa hata mwezii au miezii kidogo.
 
Mimi niko nauguliaa hangover siku ya pili leoo yanii sina mzuka wowote niko ndanii tu

Nafikiri hiyo hali nitakumbana nayo kesho mkuu.
Pole lkni
 
Hizi pombe za kwenye vichupa za buku mbili sio wajomba! Nilifuliliza vimondi Kila siku vinne vinne kwa wiki

Kilichonipata wiki hii leo ndio naweza kunywa mtori!

πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ ulichungulia kaburi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…