Nilikuwa nikinywa pombe nyingi lakini kipindi fulani nikatest hii kitu pombe ikanikataa yenyewe. Juzi nikiwa naperuzi nikakuta pia Wikipedia wameielezea bangi kuwa ni dawa ya kumwachisha mtu pombe
Nilitumia kama dawaAise...endelea kupiga pombe mkuu achana na majani
Wewe utakuwa Yanga ndio maana huna furaha.Siku imepoa sana utafikiri mboga isiyo na viungo[emoji41][emoji41]
Bora nijiwashe vyombo tu.[emoji28][emoji28]
Imeisha hiyo[emoji102][emoji102][emoji102]
Bila chama cha mapinduzi , Zanzibar hakuna maendeleo.Nina wivu na hasira za karibu.sipendagi heka heka mkuu.sina timu .yoyote inayoshinda naifurahia
Dawa ya kumwachisha mtu pombe ni bangi tu! Akivuta mara mara 3 siku tofautitofauti lazima awe ni mwonjaji wa pombe na sio mnywaji. Pombe inamkataa automatic
Ilinisaidia pia. Yani nilikuwa naweza kunywa hata bia 15 lakini tangu nimeonja bangi pombe haipandi kabisa! Kwa sasa nikilazimisha sana nakunywa bia mbili tuKwel hii kitu nimeiexperience saa hizi matumizi yangu ya pombe yamepungua sana kiasi kwamba eti simiss tungi kabisa nikipata zangu dawa na pepsi big ata ndani sitoki nikutuma mtu aniletee msosi tu.
Hahaha poa[emoji23][emoji23]mimi imenisamehe mkuu...nilipiga kama vitano hivi.niko fiti kinyama[emoji1635][emoji1635]
Haswaaaaah[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Vi 5 [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848] uongooo[emoji23][emoji23]mimi imenisamehe mkuu...nilipiga kama vitano hivi.niko fiti kinyama[emoji1635][emoji1635]