Ungekuta usha,tapika,nyongoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12]mkuu tulia basi..mbona fujo jamani..
Niko na tia moja hapa,ndo nileeeNahisi ningetapika hadi firigisi jamani[emoji28][emoji28]
Hakuna hang over wala niniRivella iko poa asikuambia mtu.
Nimeacha double kick kwa mda
Ndo nikashangaa double kick 5 aiseee hapana huyuu sio mtu kabisaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijawahi kunywa hizo pombe aisee..nilikuwa nachangamsha genge tu mkuu
Nikawazaa nikasema sura si itakuwa ime chakaa sana maana kama mtu ana lamba v 5 isee hapana wakati mimi mwenyewe pamoja na maisha kubadilika ila kimoja chenyewe kazii.Ukasema huyu mwanamke atakuwa mafia[emoji28][emoji28][emoji28]hapana aiseh..
Hongera aisehNikawazaa nikasema sura si itakuwa ime chakaa sana maana kama mtu ana lamba v 5 isee hapana wakati mimi mwenyewe pamoja na maisha kubadilika ila kimoja chenyewe kazii.
Ila siaiz nimeachaa ni revella tu week end yangu inaenda na mziki taratibuu.
Hongera kama hutumia
Jpili imeishaje ,double kick zilipandaSiku imepoa sana utafikiri mboga isiyo na viungo[emoji41][emoji41]
Bora nijiwashe vyombo tu.[emoji28][emoji28]
Imeisha hiyo[emoji102][emoji102][emoji102]
Double kick naonaga pombe za watu wa chini sana,masela waleIliisha poa sana ila si kwa kujidunga double kick aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio pombe ile siwezi kunywa hata Nichoke vipi[emoji28][emoji28][emoji28]maisha ni kuchagua mkuu..
Ila double kick..[emoji23][emoji23]hapana aiseh
Hahahaha, pombe na kunywa sana ila bia au konyagi sio hizo double kick sijui puch ,NOKama hunywi pombe safi sana mkuu.
Ukichoka nipatie massage yako safi kabisaaaa...uyafurahie maisha
Ohooooo kumbee..nilijua hunywi kabisa..Hahahaha, pombe na kunywa sana ila bia au konyagi sio hizo double kick sijui puch ,NO
Hapa yenyewe Niko bar nalewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni za sisi wanyonge wa-tia maji tia maji siku iishe tu mzee baba.Double kick naonaga pombe za watu wa chini sana,masela wale