Hahah tena mkuu unaniongezea machungu ya kukatwa huku Zanzibar.Sauti ya mwandiko wako imekaa kijechaπ π π
Hahah karibu kitoko huku nikisubiri mchakato wa Ccm leo'kura za maoni'.Poule sana mkuu ndio hivyo tena..
Vijana tumeamka sasa.
Hii ngoma ni leo leo mkuu,mbivu na mbichi...Hivi leo majina ya mpeperusha bendera ndo yanatoka ee...
Nitakujoin baadae
Hahah asante sana antiiiii,fanya tu-bet hapa Makonda anakatwa au hakatwi leo?Mungu amtangulie anko wangu jamani lohππ
Hahah mi mwenyewee hisia zangu ni hizo hizo,Sikatwi mtu hapa.Hivi kumbe ndo wewe anko eeπ π π π
Makonda hakatwi mkuu acha habari zako.
Huyo ni wa Kigamboni kwetu aiseh kura za ndio kwake.
Sass hivi nimetoka kubet na msela hiyo game , I hope nitakulaHahah asante sana antiiiii,fanya tu-bet hapa Makonda anakatwa au hakatwi leo?
Hahah odd kwako zimekaaje mkuu?Sass hivi nimetoka kubet na msela hiyo game , I hope nitakula
πππππππππ
Ili sinema itimie, jamaa anachukuaHahah odd kwako zimekaaje mkuu?
Naaaam,na mimi msimamo wangu ni huo huo mkuu.Ili sinema itimie, jamaa anachukua
Sisi wenyewe tulifundishwa maana nilikuwa naona local sana. Ila saizi nimezijua vizuriii. Sema doublr kick sioo aiseee ile ni gongo pure.Hahahaha, pombe na kunywa sana ila bia au konyagi sio hizo double kick sijui puch ,NO
Hapa yenyewe Niko bar nalewa
Sent using Jamii Forums mobile app