Jumapili hii misa yangu naenda kusali kwa Mchungaji Gwajima

Wajinga ndiyo waliwao, peleka sadaka umwongezee utajiri, maana imeandikwa: "aliyenacho huongezewa" au maji hutiririka palipo na maji mengi (bahari au ziwa).
Tuna
Wajinga ndiyo waliwao, peleka sadaka umwongezee utajiri, maana imeandikwa: "aliyenacho huongezewa" au maji hutiririka palipo na maji mengi (bahari au ziwa).
Tunatoa sadaka zetu kwa Mungu na kwa furaha sana! Wewe pia hutoa sadaka! Tofauti tu ni kwamba wewe hutoa sadaka zako aidha kwenye bar au kwa wanawake makahaba, au kwa waganga wa kienyeji nk.
 
Wajinga ndiyo waliwao, peleka sadaka umwongezee utajiri, maana imeandikwa: "aliyenacho huongezewa" au maji hutiririka palipo na maji mengi (bahari au ziwa).
Hashikiwi panga. Anatoa kwa upoolee huku anapata tumbuizo la kwaya akiwa anatikisa kichwa kukiri utoaji. [emoji120] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Wajinga ndiyo waliwao, peleka sadaka umwongezee utajiri, maana imeandikwa: "aliyenacho huongezewa" au maji hutiririka palipo na maji mengi (bahari au ziwa).
Kwa utajiri wa Gwajima na sadaka yangu buku 2 ni sawa na kurusha mchanga baharini alaf uutafte...
 
kwani na wageni nao wameenda central???
hapana
wageni tumewaficha kusipojulikana watatokea tu wakati wa ushuhuda hasa yule wa kolomije
pia mwimbaji wa nyimbo za injili kutokea arusha Jackson benti pia atakuwepo
 

Nilidhani unakwenda kumwabudu Mwenyezi Mungu. Kumbe unafuata "ubuyu"
 
Mmempata SHILAWADU mpya lazima mkamsikilize si ndio shuguli zenu dar
 
Nimeamin maneno ya kiongozi wangu wa dini kwamba ukiona kanisa linaongozwa na MTU mmoja na anaitakanisa kwa jina lake kimbia to Ka umo haraka sana mana sio dini ya mwenyezi mungu haiwezekani kanisa limegeuzwa kuwa uwanja wa siasa. Kwani ilo kanisa LA gwajima halina viongozi wengine au wachungaji wengine wamvue uchungaji uyo anayetumia jina LA kanisa kwa maslah binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…