Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
HahahaaaaaaaUmepitia kisesa au sumve? Wasalimie kwa mazs mkubwa hapo kolomije darajan
Ni sanji ake yaani bro ake bashite kaoa sista angu hapo kolomijeHahahaaaaaaa
Hivi maza ako mkubwa si ni mke mwenza wa mamake Daudi
Mi nimezaliwa Mwanza na sikuwai kufika Misungwi. Leo nimeamua kwenda kutembea uko Misungwi.
Ninania ya kukutana na wananzengwe ili nijue historia ya Daudi Bashite. Nimechoka kusikia habari za mtandaoni. Sasa naenda kujihakikishia mwenyewe.
Nimejipanda hata kuchukua na picha pamoja na kurekedi mahojiano ntakayofanya na wananzengwe.
Nitawaletea Updates muda si mrefi nimekaribia kufika.
Loading.............................Mi nimezaliwa Mwanza na sikuwai kufika Misungwi. Leo nimeamua kwenda kutembea uko Misungwi.
Ninania ya kukutana na wananzengwe ili nijue historia ya Daudi Bashite. Nimechoka kusikia habari za mtandaoni. Sasa naenda kujihakikishia mwenyewe.
Nimejipanda hata kuchukua na picha pamoja na kurekedi mahojiano ntakayofanya na wananzengwe.
Nitawaletea Updates muda si mrefi nimekaribia kufika.
Umepitia kisesa au sumve? Wasalimie kwa mazs mkubwa hapo kolomije darajan
Hebu tufafanulie kidogoFuta neno Kolomije ni tusi kulingana na Breaking news ya Leo toka kwa Nape wa Nnauye
Hata ukifika huko,, ukapata na Habari za huko bado utaziacha huko huko,,Mi nimezaliwa Mwanza na sikuwai kufika Misungwi. Leo nimeamua kwenda kutembea uko Misungwi.
Ninania ya kukutana na wananzengwe ili nijue historia ya Daudi Bashite. Nimechoka kusikia habari za mtandaoni. Sasa naenda kujihakikishia mwenyewe.
Nimejipanda hata kuchukua na picha pamoja na kurekedi mahojiano ntakayofanya na wananzengwe.
Nitawaletea Updates muda si mrefi nimekaribia kufika.
Unatupa update au waoga kwanza?Mi nimezaliwa Mwanza na sikuwai kufika Misungwi. Leo nimeamua kwenda kutembea uko Misungwi.
Ninania ya kukutana na wananzengwe ili nijue historia ya Daudi Bashite. Nimechoka kusikia habari za mtandaoni. Sasa naenda kujihakikishia mwenyewe.
Nimejipanda hata kuchukua na picha pamoja na kurekedi mahojiano ntakayofanya na wananzengwe.
Nitawaletea Updates muda si mrefi nimekaribia kufika.