Jumapili yangu haijatulia

Npo hapa mrembo, waweza nitext pm nna vigezo vyote na vya ziada na pia npo mwanza, nitakua maeneo hayo pia jioni ya leo.
 
Stupidest..!
 
Mleta mada wameshaku unlock? Au bado hawajakizi vigezo😬
 
Ndio uko hapo Gold Crest?
 
Wallah tena. Bora uwe nazo uwe na uhakika mtu yupo.
Ukifikia point ya chochote sawa ujue unaweza hata ukabaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sana dada halafu uwe hauna mwanaume wa kukutoa unaweza chizika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…