Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Yan nimuimbie nyimbo za westlife amkumbuke mpenzi wake wa kwanza.... #NEVER.. bora tuendelee na habari za kondoo na mbuziπ π πHajanuna kweli umemfananisha na mbuzi mara kondoo walokatwa manyoya? wanawake sie tunajijua bora ungetafuta Verse za kina west life ila hizo wala anaweza asifurahi.
Ahahahaa umewaza mbali mkuuyan nimuimbie nyimbo za westlife amkumbuke mpenzi wake wa kwanza.... #NEVER.. bora tuendelee na habari za kondoo na mbuziπ π π
Naomba kuwasilisha
Kabisaa.Kwanza hapo unapiga ndege wawil kwa jiwe moja.Mnaweza anza hata kuwaza ufugaji wa kondoo au mbuzi πππππππyan nimuimbie nyimbo za westlife amkumbuke mpenzi wake wa kwanza.... #NEVER.. bora tuendelee na habari za kondoo na mbuziπ π π
Naomba kuwasilisha
Inspired by Dr Hamis K mzee wa nje ya boxπππAhahahaa umewaza mbali mkuu
πππMkuu mtawaza jumapiliKabisaa.Kwanza hapo unapiga ndege wawil kwa jiwe moja.Mnaweza anza hata kuwaza ufugaji wa kondoo au mbuzi πππππππ
Mme Bora ufaa kuigwaHakika u mzuri ewe mpenzi wangu, hakika u mzuri! Macho yako ni kama ya hua nyuma ya shela lako, nywele zako ni kama kundi la mbuzi washukao katika milima ya Gileadi. Meno yako ni kama kondoo majike waliokatwa manyoya wanaoteremka baada ya kuogeshwa.
Kila mmoja amezaa mapacha, na hakuna yeyote aliyefiwa.