hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Ukiachilia mbali yale ya yule bi dada mwenyekiti kule kwenye jumba vikao vya kaya.
Wakuu kwa wale mlioutwangwa mtindi weekend hii ukizingatia ilikua ya mwisho wa mwezi tukumbushane tu hata kama tuna mning'inio wa maana tuamke tukasake dooo.
Wakuu kwa wale mlioutwangwa mtindi weekend hii ukizingatia ilikua ya mwisho wa mwezi tukumbushane tu hata kama tuna mning'inio wa maana tuamke tukasake dooo.