hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Hivi siku hizi kumbe mtindi unalewesha?Ukiachilia mbali yale ya yule bi dada mwenyekiti kule kwenye jumba vikao vya kaya
Wakuu kwa wale mlioutwangwa mtindiweekend hii ukizingatia ilikua ya mwisho wa mwezi...TUKUMBUSHANE TU HATA KAMA tuna mning'inio wa maana tuamke tukasake dooo
HahhaJUMA TATU
Karibu duniani,intel inasonyesh hivoHivi siku hizi kumbe mtindi unalewesha?
Au mimi nipo nyuma ya muda au muda ndio upo nyuma yangu?
yule mzee wa maporini?Maisha hayana formula, unalala hivi unaamka vile..... nasikia Jamaa anatakiwa kukabidhi nyumba Leo, sema nini? Jamaa kawahi salary ya August.