Jumba la kifahari la tajiri bilionea wa kihindi Mukesh Ambani

Jumba la kifahari la tajiri bilionea wa kihindi Mukesh Ambani

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Lina ghorofa 7 tu,eti na ndio makazi gharama zaidi duniani
Mumbai_03-2016_19_Antilia_Tower.jpg
 
Vipi kuhusu ulinzi, usalama, vitu vilivyopo ndani
Hapo ujue kuna Fursa ya Ajira ya kazi za Ulinzi na Usalama ikiwa ni pamoja na ununuzi wa kamera au vifaa vya kuimarisha ulinzi na usalama; usafiri ndani ya jengo e.g. Lift na rolling stairs, mfumo wa mawasiliano ndani ya jengo etc.
Je, amejiandaaje endapo mgeni rasmi asiyealikwa i.e. Umauti atamfikia ghafla?
 
Mkuu hilo jengo lina majengo 27 za gorofa ila kwa urefu wa jengo ni kama urefu wa gorofa 60
Kuna bustani kila gorofa, gym, swimming pool, cinema yaani raha zote zimo
Parking za magari pia
Nililisoma zamani nafikiri wajenzi walitoka Amerika
 
Mkuu hilo jengo lina majengo 27 za gorofa ila kwa urefu wa jengo ni kama urefu wa gorofa 60
Kuna bustani kila gorofa, gym, swimming pool, cinema yaani raha zote zimo
Parking za magari pia
Nililisoma zamani nafikiri wajenzi walitoka Amerika
Du nikajua ulimuibukia kumtembelea ukayajua hayo
 
Du nikajua ulimuibukia kumtembelea ukayajua hayo
Mkuu nimeenda India mara 2 wala sio issue kusafiri ila hilo jengo sijafika bado
Nilisoma tu habari zake kwani ili trend sana kwa sababu ndio mjengo ghali duniani
Ila sio gorofa 7
 
Back
Top Bottom