Jumba la msanii Jux

Inaonyesha anaeneo kubwa la uwanja
 
Kwa mziki upi alioufanya jux na kwa wimbo upi zaidi ya NITASUBIRI?Haya endeleeni tu kujenga wakati mtaani mnaendelea kuharibu vijana na drugs.
 
kumbe dadamond ni masifa ya kijinga tu kwenye media hela hana kumbe kuna vijana wana hela hiyo nyumba ni kama ya ay au ya alikibaka
watz bana mulianza jamaa freemason haikufua dafu,mukasema jamaa analoga haikusaidia kumwangusha mara jamaa anaiba kazi za watu bado yupo,na sasa munalazimisha kumwangusha kwa kumlinganisha na kibba na bado jamaa yupo imara nyinyi munaangaika kumchafua yeye anapiga kazi
 
Kwa mziki upi alioufanya jux na kwa wimbo upi zaidi ya NITASUBIRI?Haya endeleeni tu kujenga wakati mtaani mnaendelea kuharibu vijana na drugs.

acha wivu wakike ww kama unajua n drug dealer katoe taarifa jeshi la polisi. ..... Hongera Jux king wa R&B
 
Hongera jux jibidiishe zaidi ili sisi mitaila tuzid kusema ww n muuza madawa....... Hongera saaana kama n kweli
"roho mbaya haijengi"
 
juma jux ni mtoto wakishua plus anachopata kwenye music.....

Mtoto wa kushua kivipi mkuu namjua vzr jux ,ni kweli kipindi marehemu baba yake yupo pale mtaani baruti central alikuwa safii but mambo yakachange mshua wake alipovuta so akabaki na maza maisha ya kawa normol tu,pia nakumbuka wakati anaanza kuimba kule alipomalizia form 4 happyskilful na sijui kama alipata cheti coz kipindi kile matokeo yao yalifungiwa na akaamua kujiingiza kwa mziki,but alipoanza kwenda China tukaanza kuona mabadiliko pale kwao maisha yakaanza kuwa mazuri inaonekana mziki wa kibongo China unalipaaa.anyway yupo vizuri na vijana wenzie wa mtaa hanaga makuu.
 
Mwenzao walikata uume juzi awe makini manake kwa hizo nyimbo 3 it ia logically impossible to do something like that.
 
Acheni kamba, mbona zinaonekana kama apptment, ziko zaidi ya moja .
 
juma jux ni mtoto wakishua plus anachopata kwenye music.....

basi kama hivyo watoto wa kishua ni wengi sana bongo...jamaa magumash meng..hapo kawapiga kamba tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…