Jumla ya makampuni ya Kenya yaliyopo TZ ni 524 yamewekeza $1.2B, Kiwanda kimoja cha Cement cha Wachina ni $1.3B

Jumla ya makampuni ya Kenya yaliyopo TZ ni 524 yamewekeza $1.2B, Kiwanda kimoja cha Cement cha Wachina ni $1.3B

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Hivi kwa hali ya kawaida hayo makampuni ya Kenya yaliyowekeza Tanzania kweli ni makampuni au ni mama ntilie? Kwa wastani wa jumla ya hiyo idadi ya makampuni na hiyo pesa iliyowekezwa, kila kampuni mtaji wake ni sawa $2500, haya ni makampuni au Saccos?[emoji23

Wakati huohuo wachina wanajenga Kiwanda kikubwa cha Cement huko Tanga,uwekezaji wake utagharimu $1.3B, hii maana yake ni kwamba kampuni Moja la China ni zaidi ya makampuni 524 ya Kenya, hapa nani ni muwekezaji na nani ni juakali?][emoji23][emoji23]
Tony254
dyfre
Don YF
NairobiWalker
 
Hivi kwa hali ya kawaida hayo makampuni ya Kenya yaliyowekeza Tanzania kweli ni makampuni au ni mama ntilie? Kwa wastani wa jumla ya hiyo idadi ya makampuni na hiyo pesa iliyowekezwa, kila kampuni mtaji wake ni sawa $2500, haya ni makampuni au Saccos?[emoji23

Wakati huohuo wachina wanajenga Kiwanda kikubwa cha Cement huko Tanga,uwekezaji wake utagharimu $1.3B, hii maana yake ni kwamba kampuni Moja la China ni zaidi ya makampuni 524 ya Kenya, hapa nani ni muwekezaji na nani ni juakali?][emoji23][emoji23]
Tony254
dyfre
Don YF
NairobiWalker
Hadi walanguzi wa vitunguu kule kiteto nao wanaingia kama kampuni...kwahyo anachukua mzigo fuso mbili zinaenda nbo akimaliza anarudi tena[emoji1787][emoji1787] Anyway tuwaache maana sisi ndio tunafaidi zaidi
 
Back
Top Bottom