Sawa kabisa vijana.
Tamasha la wasio na kazi litaiamsha serikali usingizini.
Jipangeni sawa sawa ili muwe na matawi mikoani, wilayani na ngazi ya kijiji.
Hii itakuwa jumuiya yenye nguvu sana Tanzania.
Hata wale walio na ajira isiyo rasmi, pia jiungeni.
Now, how to start and connect yourselves?- a challenge.....
Kwahiyo mtakutana wapi ? UDSM kuna mgomo
Kweli ajira ni ishu sana kwa vijana. Tatizo ni kwenda shule kwa malengo ya kuja kuajiriwa badala ya kwenda shule ukitegemea kuja kujiajiri wenyewe!
popote pale watu wataposhauri kukutana , kulingana na mawazo ya wengi
nimeanza, nashauri iwe mitaa ya kinondoni. nahisi kunafikika kirahisi na hakuathiriwi na mishemishe nyingi za mjini.
Kweli ajira ni ishu sana kwa vijana. Tatizo ni kwenda shule kwa malengo ya kuja kuajiriwa badala ya kwenda shule ukitegemea kuja kujiajiri wenyewe!
your are very creative indeed