Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Esidiei noma anapitisha tako sebuleniNimetoka kusoma uzi sio muda mrefu jamaa analalamika wameenda jumuiya na kusumbuliwa na mama mji ambae ni muesidiei πππ
Mimi dini naifanya kama sehemu muhimu kwenye maisha ila isiyo na ULAZIMA ili kupunguza changamoto ndogo ndogo kama hizoEsidiei noma anapitisha tako sebuleni
Sasa hauoni kwamba hiyo ni faida mojawapo ya jumuiya? Kuleta upatanishi miongoni mwa wanajamii?Niligombana na jirani yangu baada ya kujenga mpakani.
Kilichotokea nilimwambia abomoe na hakubomoa. Nikamuacha, nimemuacha hadi sasa. Nasubiri afanye maamuzi yake.
Cha ajabu naambiwa na watu walihudhuria jumuiya naona kuna majadiliano ya mimi nikubali ajenge.
Sipendi jumuiya ni upumbavu.
Ndiyo maana namueleza kwamba haoni kwamba hiyo ni faida ya jumuiya kuingilia na kusaidia kila mmoja abaki na amani?Kama hajaingia kwako pakubwa... Akufidie eneo lako kwa sqm... Yaishe...usipende ligi sana na watu Mkuu