jovin malima bulemo
Member
- Sep 11, 2023
- 8
- 4
Niwasalim kwa jina la (J.M.T) ktk umoja huu wa E.A.C Kuna hoja nyingi za KIMUUNGANO mfano:
DHIMA YA KUUNGANISHA NCHI WANACHAMA UHURU WA KIBIASHARA ISIYO NA MIPAKA.
* Tumeona nchi WANACHAMA Wana zuia bidhaa nchi moja kwenda nyingine sababu wanazotoa Ni Kama mpaka uwe na kibali maalum
* Mfano changamoto tuliyo pitia Tanzania hapo nyuma ya sukari, isinge fikia mpaka serikali kuingilia Kati kuanza kuangaika na vibali vya kuingiza sukari
#unadhani Ni sababu hipi inakwamisha kuwepo kwa Uhuru wa kibiashara 💯% kwa nchi WANACHAMA ili kuinuana kiuchumi?
DHIMA YA KUUNGANISHA NCHI WANACHAMA UHURU WA KIBIASHARA ISIYO NA MIPAKA.
* Tumeona nchi WANACHAMA Wana zuia bidhaa nchi moja kwenda nyingine sababu wanazotoa Ni Kama mpaka uwe na kibali maalum
* Mfano changamoto tuliyo pitia Tanzania hapo nyuma ya sukari, isinge fikia mpaka serikali kuingilia Kati kuanza kuangaika na vibali vya kuingiza sukari
#unadhani Ni sababu hipi inakwamisha kuwepo kwa Uhuru wa kibiashara 💯% kwa nchi WANACHAMA ili kuinuana kiuchumi?