Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) limewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27. Wito huo umetolewa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo, akihimiza Watanzania kuchukua jukumu lao la kidemokrasia kwa kuhakikisha wanajitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi watakaoleta maendeleo katika jamii zao.
Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) limewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27. Wito huo umetolewa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo, akihimiza Watanzania kuchukua jukumu lao la kidemokrasia kwa kuhakikisha wanajitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi watakaoleta maendeleo katika jamii zao.
Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) limewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27. Wito huo umetolewa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo, akihimiza Watanzania kuchukua jukumu lao la kidemokrasia kwa kuhakikisha wanajitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi watakaoleta maendeleo katika jamii zao.