JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Bondia Yusuf Changalawe amemtoa kwa TKO, Arthur Lingelier kutoka Visiwa vya St Lucia na kutinga Nusu Fainali katika michezo ya Jumuiya ya Madola Jijini Birmingham Nchini Uingereza.
Kutokana na matokeo hayo, Tanzania imepata uhakika wa medali katika michezo hiyo.
Kabla ya hapo, Changalawe alifanikiwa kuingia Robo Fainali kwa ushindi wa pointi dhidi ya Curlin Richardson kutoka Visiwa vya Anguila.
Kutokana na matokeo hayo, Tanzania imepata uhakika wa medali katika michezo hiyo.
Kabla ya hapo, Changalawe alifanikiwa kuingia Robo Fainali kwa ushindi wa pointi dhidi ya Curlin Richardson kutoka Visiwa vya Anguila.