johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alisoma na Job Ndugai 🐼Mwenye elimu ya Mbowe anisaidie, nione kama ataendana na kasi ya chama
Ndio wanakuja sasa mkuu...Ingependeza wasomi wangejua na namna ya kukitafutia chama pesa na namna ya kujiendesha.
Hiyo simple sanaIngependeza wasomi wangejua na namna ya kukitafutia chama pesa na namna ya kujiendesha.
Ni kweliHadi sasa Bavicha na Bazecha zimechagua Wenyeviti Wasomi wenye Leseni za Kitaaluma kabisa
Bado Bawacha na pale juu kabisa Alfa na Omega 😂
Ahsanteni sana🐼
Ngoja tuone ingawa sidhani kama ni rahisi kama tunavyodhani. Mnyonge mnyongeni....Ndio wanakuja sasa mkuu...
Utawanga sana ila SSH yupo hapa Hadi 2030.Nenda katapinge huko Altareni mkishirikiana na kibaraka pamoja na Kitima.Hadi sasa Bavicha na Bazecha zimechagua Wenyeviti Wasomi wenye Leseni za Kitaaluma kabisa
Bado Bawacha na pale juu kabisa Alfa na Omega 😂
Ahsanteni sana🐼
Hatutaki TISS wachukue sides, tunataka wafanye majukumu yao ya kitaifa taifa liwe salama, sio kujiingiza kwenye siasa za vyama.Chadema hii ilivyo tamu. Naona dalili za TISS kuwatema CCM
Yeye anategemea utajiri alioridhi kuhodhi madaraka.Imagine hata pale mikocheni ni mali ya urithi.Hadi sasa Bavicha na Bazecha zimechagua Wenyeviti Wasomi wenye Leseni za Kitaaluma kabisa
Bado Bawacha na pale juu kabisa Alfa na Omega 😂
Ahsanteni sana🐼
Chadema hii ilivyo tamu. Naona dalili za TISS kuwatema CCM
subiri uone mzikiIngependeza wasomi wangejua na namna ya kukitafutia chama pesa na namna ya kujiendesha.
Unateseka ....Utawanga sana ila SSH yupo hapa Hadi 2030.Nenda katapinge huko Altareni mkishirikiana na kibaraka pamoja na Kitima.
Uzi ni mwembambaWewe mzee sijawahi ona thread Yako ikazidi paragraph Moja...unaandika heading ndeeeefu main thread hata paragraph haifiki.. na Kila siku unapost thread More than one per day.... pathetic!
Umemsikiza Lema vizuri?Ingependeza wasomi wangejua na namna ya kukitafutia chama pesa na namna ya kujiendesha.