Jumuiya za Chadema zimeamua kuchagua Wenyeviti Wasomi hadi Bazecha hii tafsiri yake ni nini? Je pale Alfa na Omega wataweka Msomi pia? 🐼

Ingependeza wasomi wangejua na namna ya kukitafutia chama pesa na namna ya kujiendesha.
 
Mbowe ni msomi wa Demokrasia isiyo na fujo🐼
 
Hadi sasa Bavicha na Bazecha zimechagua Wenyeviti Wasomi wenye Leseni za Kitaaluma kabisa

Bado Bawacha na pale juu kabisa Alfa na Omega 😂

Ahsanteni sana🐼
Utawanga sana ila SSH yupo hapa Hadi 2030.Nenda katapinge huko Altareni mkishirikiana na kibaraka pamoja na Kitima.
 
Hadi sasa Bavicha na Bazecha zimechagua Wenyeviti Wasomi wenye Leseni za Kitaaluma kabisa

Bado Bawacha na pale juu kabisa Alfa na Omega 😂

Ahsanteni sana🐼
Yeye anategemea utajiri alioridhi kuhodhi madaraka.Imagine hata pale mikocheni ni mali ya urithi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…