Ni kweli, nchi kamaa japan nasikia mtoto mdogo ni mdogo ni marufuku kula nyama wana-encourage zaidi kitoweo cha samaki na zaidi kichwa cha samaki kwa sababu ya upatikanaji wa aina ya madini sehemu hiyo ya kichwa cha samaki!
Inasekana pia ndiyo sababu ya nchi hiyo kuwa na uchumi mzuri kwa sbb wananci wake wana akili za kutosha hata ivo kuna aina ya samaki, si wote!