Junko Furuta, binti wa Kijapani aliyebakwa na zaidi ya wanaume 100 ndani ya siku 40

Junko Furuta, binti wa Kijapani aliyebakwa na zaidi ya wanaume 100 ndani ya siku 40

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Hapa duniani imezoeleka watu wabaya kufananishwa roho zao na wanyama ni kawaida utasikia “fulani ana roho ya kinyama sana” lakini je wafahamu kuna binadamu wana roho ya kikatili kuliko wanyama?

Tarehe 25 November 1988, vijana wa kiume wawili Miyano na rafiki yake Nobuharu Minato walikuwa wakizurura maeneo ya mji wa Misato huko Japan. Vijana hawa wenye umri wa miaka kumi na hivi walikuwa na lengo la kuwapora na kuwabaka mabinti wa maeneo hayo.

Majira ya 8:30 pm, walimuona binti aitwaye Furuta akiendesha baiskeli yake, kwa maagizo ya Miyano', Minato akampiga binti na kumuangusha kutoka kwenye baiskeli yake na akakimbia hilo eneo. Miyano akajidai anamsaidia binti kwa kumtoa chini na akaomba amsindikize binti kwao binti alikubali bila kujua anapelekwa kwenye ware house akabakwa na akatishiwa kuuawa baada ya hapo “baharia” Miyano akamuita Minato na rafiki zao wengine Jō Ogura na Yasushi Watanabe waendeleze ubakaji, Miyano alijisifu sana kwa kitendo hiki cha kinyama.

Vijana hawa walimtisha binti akijaribu kutoroka atakufa na walisema wao ni member wa group la YAKUZA, hili ni kundi liliogopwa sana huko Japan, baadae walimpeleka binti kwenye nyumba iliyomilikiwa na wazazi wa Minato.

Tarehe 27 Novemba wazazi wa binti Furuta walipiga simu polisi kutoa taarifa lakini kina Miyano sijui walifahamu vipi wakamshurutisha binti apige simu kwao na aseme ametoroka. Walifanya hivi ili kuogopa msako wa polisi.

Furuta aliwekwa nyumbani kwao Minato kwa siku 40 ambazo alibakwa na genge la Mayakuza, alipigwa, alinyimwa chakula na maji (mwanzo alipewa kidogo) alitundikwa darini na kutumiwa kama punching bag vijana walipotaka kufanya mazoezi, aliambiwa ale mende wazima, anywe mkojo wake, afanye masturbation mbele yao na walipochoka kuweka sehemu zao za siri kwenye mwili wake waliweka vitu kama bulb ya taa ikiwa ya moto hadi ikapasukia ndani hadi fireworks aliwekewa (fireworks ni zile fataki hupigwa wakati wa siku kuu) so ikalipuka wakati amechomekewa mwilini, walimchoma uke wake kwa sigara na viberiti vya gas, ile ngozi ya macho waliimwagia yale maji maji ya moto ya mshumaa, chuchu zake walizochomoa na pliers, walimshona maziwa kwa sindano.

Binti alijaribu kupiga simu polisi siku moja, adhabu aliyopewa walimchoma moto miguuni na kuchukua chupa ya soda wakamuingizia yote sehemu ya haja kubwa, hii ilipelekea binti apoteze fahamu na baadae sana aliteswa tena mpaka kufa na mwili wake uliwekwa kwenye pipa halafu likajazwa simenti iliyochanganya na maji kabisa pamoja na zege.

Tarehe 23 Januari 1989, Hiroshi Miyano na Jō Ogura walikamatwa kwa kosa la ubakaji wa binti wa miaka 19 waliyembaka kabla ya huyu ninayemuhadithia, wakati wa mahojiano polisi mmoja alijidai anawauliza kuhusu huyu binti Furuta kwani anajua wanajua alipo, wakajikanyaga wakasema ukweli wote, mwili wa binti ukapatikana lakini ulikuwa huwezi kutambua kama ni yeye mpaka walipofanya DNA, vijana hawa walishitakiwa na kuhukumiwa miaka kifungo cha miaka 17 jela na baadae walikuja kuachiwa huru

HUYU NDIYE Junko Furuta BINTI WALIYEMBAKA NA KUMTENDEA UNYAMA

IMG_2492.JPG
 
Kumanina walahi.... Labda mimi nisiwe hata jirani ya huyo binti kumanina.... Hao wasenge nitawatafuta kwa utulivu wa halinya juu m'moja baada ya mwingine kisha niwakusanye pamoja kwenye chumba.... Nitakaa nao siku 80 kila wiki anateswa m'moja wengine wakitazama na anakufa kifo cha kikatili kuliko maelezo....

Aaaaaah kumanina nina hasira hapa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali ya japan ilijitetea kwamba washitakiwa wapo under age hivo sheria haziruhusu kuwashitaki kama watu wazima mfano kuwahukumu kifo


Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za kisenge hizo...... Alivyouwa si tendo la kikubwa... Huyo ameshakuwa.... Me ningesema sheria hairuhusu wao kuhukumiwa ila tunawakabizi kwa wanafamilia za hawa marehemu wajue namna ya kudeal nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wanawachafulia jina mayakuza
Hao jamaa walikua wanadai kundi lao linafanya ishu za kikubwa tu, ukiwachafulia jina kipuuzi wanakusaka
 
Back
Top Bottom