pathfinder_tz
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 356
- 377
Walipokuwa wanamwambia timu za EPL sio lele mama akaona wanajaribu kumchekesha kisa kawagonga gonga ovyo......ligi nzima kwa ujumla haikuwa stable......sasa kwa wiki hizi mbili, angalau amepata cha kusimulia kuhusu hizo timu za EPL
Ngoma ya kitoto haikeshi.........amepambana na MZIZI uliojichimbia chini zaidi UCL
Ndo maana wanazi wa arseanla hawamulaumu sana Arsenal wenger kwa kufuungwa na Man City kwani naye kagongwaNa bado Toten harm lazima amugonge
Hahahahaja"Mourinho hata awe kocha wa Lipuli anamfunga Guardiola"
Wenga chizKlop kwa guardiola ni kama Wenger kwa Conte.... Wanatoa dozi tu
Ila hua anampatia sana Conte... Anaandika kila wakikutanaWenga chiz