JK alikuja na matumaini makubwa sana pale Liverpool akiwa na kila sababu ya kuirudisha moja ya timu kogwe kabisa na zenye mafanikio pale kwa Malikia..
Lakini zaidi ya kuzifunga timu kubwa hakuna chochote anachoweza jivunia huyu jamaa.Jk please amka toka usingizini kocha bora haishii kushinda big match na kufungwa mechi ndogo hilo limedhihilika juzi katika UCL umeshindwa kuifunga timu yenye ubora wa kawaida kabisa Spartak Moscow..
Mashabiki nguli wa majogoo wa jiji wanatarajia kurusha ndege mwishoni mwa juma wakati mechi yao dhidi ya Newcastle ikiendee wakimwomba kocha wao wa zamani Rafa Benitez arejee nyumbani maana wanaona JK ameshindwa kazi.
JK amka toka usingizini kumekucha.
Lakini zaidi ya kuzifunga timu kubwa hakuna chochote anachoweza jivunia huyu jamaa.Jk please amka toka usingizini kocha bora haishii kushinda big match na kufungwa mechi ndogo hilo limedhihilika juzi katika UCL umeshindwa kuifunga timu yenye ubora wa kawaida kabisa Spartak Moscow..
Mashabiki nguli wa majogoo wa jiji wanatarajia kurusha ndege mwishoni mwa juma wakati mechi yao dhidi ya Newcastle ikiendee wakimwomba kocha wao wa zamani Rafa Benitez arejee nyumbani maana wanaona JK ameshindwa kazi.
JK amka toka usingizini kumekucha.