Jury US imeamuru alipwe $70m, Kwa kupata Kansa (ovarian cancer) sababu ya kutumia Johnson powder

mxyo16

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
1,243
Reaction score
758
Inavyosemekana wanawake wengi hutumia poda au talc, na nguvu ya matangazo yanayowalenga hasa wanene, kupaka maeneo ya siri. Huyu mama alikua akitumia poda hiyo badae kaugua kansa na kuwashitaki Johnson & johnson baby powder. Wazee wa baraza (jury) wameamuru alipwe dola milioni 70 kama fidia. Ni kesi ya pili ya namna hiyo, mwingine alikufa familia yake imelipwa dola 50million.

Ingawa yasemekana Kansa ya ovaries (mayai ya uzazi) husababishwa na utumiaji wa hormones baada ya menoupause, unene (obesity), kurithi katika ukoo, mwanamke kkutokuzaa kabisaa, some mutations, bado kwa wapaka poda kuna chance ya 40% kuathirika na kansa, utafiti.

Ladies kuweni waangalifu. Na quality ya hizi zinazo kuja madukani kwetu!!!, Mungu atulindie dada zetu.
 
Kweli dada zetu wawe makini sana maana kubongo bongo huwezi lipwa huo mkwanja.
 
Hiyo powder alikuwa anapakaa kwenye ovaries kwani???! Impossible
 
Hii poda si ndo inapakwa watoto wachanga wote hapa kwetu?
 
Hiyo powder Labda alikuwa ananyunyiza kwenye papuchi ili isichachuke
 
Hiyo powder Labda alikuwa ananyunyiza kwenye papuchi ili isichachuke
Huwa wanapaka kwenye mikunjo ya mapaja karibu na sehemu ya sir, inapunuza unyevu, michubuko etc...na sio kuingiza ndani
 
Hapana wa huku kwetu tunawapaka hii


Angalia Zina utofauti lkn zote ni baby Johnson sasa sijui sisi tunauziwa matango pori makavu.
Ni balaa mkuu. na zipo nyingi sana. Katika utafiti hao johnson wameambiwa waondoe kemikali kama mbili hivi ambazo ndio mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…