coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 373
- 724
Daaah inasikitisha sanaDuuu!! Apumzike kwa amani, poleni sana.
Lala mbibi, mimi nililala mwaka jana nimeamka mwaka huuDaaah inasikitisha sana
Nakushangaa we na ndoa yko unaranda randa sahizi.badala umkumbatie bibieLala mbibi, mimi nililala mwaka jana nimeamka mwaka huu
Yupo mkoani anatia timu kesho, namsubiri kwa hamu hapaNakushangaa we na ndoa yko unaranda randa sahizi.badala umkumbatie bibie
Teeh njoo basi kwangu leoYupo mkoani anatia timu kesho, namsubiri kwa hamu hapa
Mbibi unataka ya kimasihara ee...Teeh njoo basi kwangu leo
😀Haya transilesheni hiyo hapo;Lugha ngumu umetutakia mwaka mpya mwema au?
Karibu😀Haya transilesheni hiyo hapo;
View attachment 1310071
Lugha niliyoitumia mbona nyepesiLugha ngumu umetutakia mwaka mpya mwema au?
You too.Happy New Year
Sawa kakaHujapata tu bro?
You have taken it too serious man, relax. Ongea lugha ya kawaida mkubwa, hawa wenzako wanaogopaga sehemu ambazo zinaonekana too serious. Wanapenda mtu wa kawaida tu maishani ila mwenye misimamo na mwenye kufanikiwa au aliye na maono ya kufanikiwa. Wakigundua umejiandaa sana kabla ya tangazo eti wanahisi hauko real eti
Nimekupata mkuuHujapata tu bro?
You have taken it too serious man, relax. Ongea lugha ya kawaida mkubwa, hawa wenzako wanaogopaga sehemu ambazo zinaonekana too serious. Wanapenda mtu wa kawaida tu maishani ila mwenye misimamo na mwenye kufanikiwa au aliye na maono ya kufanikiwa. Wakigundua umejiandaa sana kabla ya tangazo eti wanahisi hauko real eti