Just go away Wenger, thanks for your efforts



Mara umlaumu kocha, mara mchezaji kocha hana lawama!! Kwa kweli hizi ni dalili za kuchanganyikiwa. POooooooooooooooole sana. Na bado kisago kitaendelea
 
mkuu es,kwani hao wachezaji wachovu wamejileta wenyewe au professor ndiye aliyewaleta?pengine mimi na wewe tunawaona wabovu lakini kama yeye anawaona wanafaa jee?sasa alaumiwe mchezaji au kocha?
 
mkuu es,kwani hao wachezaji wachovu wamejileta wenyewe au professor ndiye aliyewaleta?pengine mimi na wewe tunawaona wabovu lakini kama yeye anawaona wanafaa jee?sasa alaumiwe mchezaji au kocha?

- Hawezi kujua kama hawafai kabla hawajaonyesha uchovu, sasa wameonyesha dawa ni kuwatema, asipowatema basi na yeye hafai, lakini for now makosa sio yake mkuu wangu kwa maoni yangu, ila wachezaji wengi ni wabovu sana.

FMES
 
Hawezi kujua kama hawafai kabla hawajaonyesha uchovu, sasa wameonyesha dawa ni kuwatema, asipowatema basi na yeye hafai, lakini for now makosa sio yake mkuu wangu kwa maoni yangu, ila wachezaji wengi ni wabovu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…