Indume Yene Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 2,962 Reaction score 721 Nov 17, 2009 #1 Haya mwenye kutoa maoni na atoe. Attachments POKITO.jpg 200.9 KB · Views: 77
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Nov 17, 2009 #3 mbelakisa wewe uko dunia gani hii Huyo ni mama Kikwete na Naomi Campbell
Mopao Josee JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 280 Reaction score 1 Nov 17, 2009 #4 Naona ka mama yetu anaomba msaada..........(wama!!!!!!).......lol
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,120 Nov 17, 2009 #5 Mbona mama wamemuwekea juice kwenye bear mug?watu wa protocal vipi?Hiyo bilauri ya huyo mnyange ndio sahihi kwa juice
Mbona mama wamemuwekea juice kwenye bear mug?watu wa protocal vipi?Hiyo bilauri ya huyo mnyange ndio sahihi kwa juice
Injinia JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 849 Reaction score 28 Nov 17, 2009 #6 Mwanamke hinna babu, eh? Mwanamke afya!! Mcheki Ms Campbell anaonekana ka mgonjwa vile, au joto la Dar lilim"dehydrate"?
Mwanamke hinna babu, eh? Mwanamke afya!! Mcheki Ms Campbell anaonekana ka mgonjwa vile, au joto la Dar lilim"dehydrate"?