Just landed from big brother house,anyone interested to share the money?

Keagan

Member
Joined
Aug 6, 2012
Posts
40
Reaction score
11
Wadau habari zenu,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiperuzi kurasa mwanana za jamiiforums.
Naomba nikiri pia nimekuwa nikitumia nondo(facts) zinazokuwa poured humu ndani sehemu tofauti tofauti na kujipatia credibility ya hali ya juu.

Sasa,ni wasaa mzuri nami kujiunga ili wengine pia wanufaike na michango yangu,namimi nijifunze zaidi..

I guess i‘m welcomed whole-heartedly,am i not?
 
Karibu sana jamvini, tunategemea kupata mengi kutoka kwako. Zingatia kanuni na sheria za jamvi ili usigombane na mods.
 
kwa moyo mkunjufu.... karibu sana
 
karibu sana.

mmhuuuu...leo mbona umejaa sana huku Ritz kwa wema lakini?umeanza lini kuwa na roho ya ukaribisho namna hii?
au ndio unavizia mambo yako yaleee...tehee
 
Last edited by a moderator:
mmhuuuu...leo mbona umejaa sana huku Ritz kwa wema lakini?umeanza lini kuwa na roho ya ukaribisho namna hii?
au ndio unavizia mambo yako yaleee...tehee

Mkuu JF ni furaha mie mbona mwema sana...nakaribisha wageni.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…