Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
kokorikoo...lolduhhhhhh kumekucha
Ndo unatoboa siri hivyo ehhhh!?Nwy wanaotumia labda hawaitafsiri hivyo au wanataka ijulikane hivyo kuhusu wanaemwongelea....Enzi fulani - early 80s I think though I could be wrong - kulikuwa na maneno mawili maarufu yafuatayo (naweka na maana yake) yakitumika kuelezea wasifu wa mtu:1. Manzi = Msichana decent2. Fox = Msichana malayaI can't help noticing the second word being used here at JF and...ah! well, just thinking aloud!
tena kumekucha mapemaduhhhhhh
kumekucha
tena kumekucha mapema
teh teh teh
bado giza giza lakini
baadaye naenda kuokota kuni ni chemshe chai..
JKaribu Njoo na vitumbua basi..Naja ku-gate crash hiyo chai.
Chenk you uuuuuu ....beautiful post indeed!!!
We sikubali kirahisi hivyo mami..Raha ya kitu ni ukikifanyia kaziUkipewa tu waweza usitunze sababuHujui uchungu wa kutafutA ...Wanawake ni center of attention sijui kwanini tu wasiwe wanakubali badala ya kuzunguka..Kwaheri...
We sikubali kirahisi hivyo mami..Raha ya kitu ni ukikifanyia kaziUkipewa tu waweza usitunze sababuHujui uchungu wa kutafutA ...
Kisha akijiita celebrity tukatae!
Kishtobe
Mlupo
king'asti
demu
shore
kichuda
mkalia nyonga