Just Thinking Critically....

Just Thinking Critically....

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Kwa wale ndugu zangu wafuatiliaji wa karibu wa vitabu vitakatifu hasa biblia.. Naomba ni share na nyinyi kitu hiki...
Ukisoma bible kitabu cha Mwanzo.. Imeandikwa Mungu aliumba mbingu na dunia kwanza.. # siku ya pili akaumba tena# siku ya tatu akaumba#...
Siku ya nne ndio Jua (mwanga) ukaumbwa.. SWALI AMBALO HUWA NAJIULIZA KAMA JUA LILIUMBWA SIKU YA NNE.. HIZI SIKU ZA KWANZA ZA UUMBAJI WALITUMIA NINI KUJUA KUWA LEO NI SIKU YA KWANZA BILA JUA?
 
Nadhani the question makes a refresh over the definition of time, a measure of change relating space and matter in dynamic nature of our univerde. By part day one or day 2 ni just how god used in his terms of time scale. Just because again time is "changes assigned frame of reference"
 
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.

Mkuu nafikiri ukisoma hapa kwa kurudia rudia lazima swali lako utajipatia jibu.
Sio ya kwamba jua ndio lilitumika kujua siku maana tayari ilikuwepo nuru na giza, Mungu aliumba jua kuongeza mwangaza na Mungu aliumba mwezi kupunguza giza nene.
 
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.

Mkuu nafikiri ukisoma hapa kwa kurudia rudia lazima swali lako utajipatia jibu.
Sio ya kwamba jua ndio lilitumika kujua siku maana tayari ilikuwepo nuru na giza, Mungu aliumba jua kuongeza mwangaza na Mungu aliumba mwezi kupunguza giza nene.
Hiyo nuru ilizalishwa na kitu gani kule angani mkuu
 
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.

Mkuu nafikiri ukisoma hapa kwa kurudia rudia lazima swali lako utajipatia jibu.
Sio ya kwamba jua ndio lilitumika kujua siku maana tayari ilikuwepo nuru na giza, Mungu aliumba jua kuongeza mwangaza na Mungu aliumba mwezi kupunguza giza nene.
Tunajuaje period ya hip nuru isiyo Giza?
 
Back
Top Bottom