kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 239
Hatimaye watuhumiawa wa The LIST OF SHAME by. Dr. Wilbroad Slaa waanza kuonekana mahakamani.
Mpiganaji Slaa nakupa hongera nimerejea list ile na tuhuma alizo nazo MRAMBA na Yona ndizo hizo hizo ambazo JK amewafikisha nazo mahakamani. Ni lazima JK akupe hongera na akushukuru.
Watanzania wote tupo nyuma yako.
Kikwete anakwenda mwendo wa kinyonga kutimiza wajibu wake anakuwa kama hataki hana uwezo wa kufanya maamuzi ya kiraisi na kiutendaji, haitaji sifa yeyote huu ni wajibu wa utawala wa sheria na unaofuta katiba.
katiba ya tanzania ipo wazi , Binadamu wote ni sawa mbele yasheria ila JK anatuonyesha watanzania sio sawa mbele ya sheria.
Ikumbukwe South Afrika walipigania usawa mbele ya sheria na wengi walikufa kwa mapigano hayo mpaka sheria ikaleta usawa kwa wote.
Marekani vivyo hivyo weusi walibaguliwa kwa kukiuka katiba wengi waliuwawa na wengi waliteswa , waliamua kupigania uswa ulioandikwa kwenye katiba kwa kumwaga damu, rejea Dr. martin luther king na wengine wengi.
Tanzania hatuwezi kupata usawa na haki ya katiba yetu bila kuipigania.
Iweje leo tuone ni ajabu Yona kushitakiwa?
Iweje leo tuone ajabu Mramba kushitakiwa??
Iweje leo iwengumu kwa Rostam Azizi kushitakiwa????
Iweje leo Manji kuogapwa na walinda sheria ???
Iweje leo Rais wa nchi kutaka pongezi kwa kuachia wezi na wahujumu wa mali ya umma kufikishwa kwenye mikono ya sheria???
hapa kuna tatizo kubwa.
Viongozi hawajui wajibu wao, wakitimiza wajibu wao inaonekana ni 'favor' kwa wananchi. 'i am sick of this'
Kikwete ikumbukwe wote ni sawa mbele ya sheria na kuchelewesha haki ni kuikataa haki.
kikwete huhitaji high pressure ndio utende ni wajibu wako kufanya kazi tuliyokutuma na kufuata sheria.
Ni vyema akarejea List of shame aangalie ni nani amebaki aburuzwe mbele ya sheria.
Na wizi wote ambao haujaguswa wezi wote wakajibu mbele ya sheria kama wale wa : Meremeta, Tango gold, Richmond, twin tawer, radar, bandari, nk
Slaa; wakati umefika kuongeza pressure kwa yote mliyoanzisha, tukumbuke tunadili na utawala uliozimia na unaendeshwa na mashine za uhai hivyo tukipunguza nguvu nao unakwenda likizo. Hii si kwa manuifaa ya kisiasa tu bali kwa ajili ya kizazi kijacho.
Mpiganaji Slaa nakupa hongera nimerejea list ile na tuhuma alizo nazo MRAMBA na Yona ndizo hizo hizo ambazo JK amewafikisha nazo mahakamani. Ni lazima JK akupe hongera na akushukuru.
Watanzania wote tupo nyuma yako.
Kikwete anakwenda mwendo wa kinyonga kutimiza wajibu wake anakuwa kama hataki hana uwezo wa kufanya maamuzi ya kiraisi na kiutendaji, haitaji sifa yeyote huu ni wajibu wa utawala wa sheria na unaofuta katiba.
katiba ya tanzania ipo wazi , Binadamu wote ni sawa mbele yasheria ila JK anatuonyesha watanzania sio sawa mbele ya sheria.
Ikumbukwe South Afrika walipigania usawa mbele ya sheria na wengi walikufa kwa mapigano hayo mpaka sheria ikaleta usawa kwa wote.
Marekani vivyo hivyo weusi walibaguliwa kwa kukiuka katiba wengi waliuwawa na wengi waliteswa , waliamua kupigania uswa ulioandikwa kwenye katiba kwa kumwaga damu, rejea Dr. martin luther king na wengine wengi.
Tanzania hatuwezi kupata usawa na haki ya katiba yetu bila kuipigania.
Iweje leo tuone ni ajabu Yona kushitakiwa?
Iweje leo tuone ajabu Mramba kushitakiwa??
Iweje leo iwengumu kwa Rostam Azizi kushitakiwa????
Iweje leo Manji kuogapwa na walinda sheria ???
Iweje leo Rais wa nchi kutaka pongezi kwa kuachia wezi na wahujumu wa mali ya umma kufikishwa kwenye mikono ya sheria???
hapa kuna tatizo kubwa.
Viongozi hawajui wajibu wao, wakitimiza wajibu wao inaonekana ni 'favor' kwa wananchi. 'i am sick of this'
Kikwete ikumbukwe wote ni sawa mbele ya sheria na kuchelewesha haki ni kuikataa haki.
kikwete huhitaji high pressure ndio utende ni wajibu wako kufanya kazi tuliyokutuma na kufuata sheria.
Ni vyema akarejea List of shame aangalie ni nani amebaki aburuzwe mbele ya sheria.
Na wizi wote ambao haujaguswa wezi wote wakajibu mbele ya sheria kama wale wa : Meremeta, Tango gold, Richmond, twin tawer, radar, bandari, nk
Slaa; wakati umefika kuongeza pressure kwa yote mliyoanzisha, tukumbuke tunadili na utawala uliozimia na unaendeshwa na mashine za uhai hivyo tukipunguza nguvu nao unakwenda likizo. Hii si kwa manuifaa ya kisiasa tu bali kwa ajili ya kizazi kijacho.