Justice delayed is justice denied

bitete

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
104
Reaction score
17
Wakuu natangukiza heshima......Nina kesi hizi baraza za land disputes since 2006!! Plot yangu ina title deed ya 1994...jirani
Yangu baada ya kuCna neighborhood yetu kuna
Major development i.e shopping mall zinajengwa akanifungulia kesi .....sasa anachofanya ni delaying tactics for all those years ...what should i do ..nataka kudevelop my plot
 
Kwa hiyo unamshauri afanyeje?

Mimi nimeishaamua kuwa kukiwa na mgogoro wakati naendelea na mchakato huo wa Mahakamani najitahidi kutafuta sehemu nyingine (yaani kuwa na plan B) hawa jamaa wanaojihita Ly nawakwepa at any cost kwani wamezidi kula huku na huku na kutembeza bakuli. Nakushauri komaa tu wewe mwenyewe
 

inadepend na mtu, sio kila mmoja rafiki.
 
Justice hurried is justice buried,waone wanasheria makini watakusaidia
 
Justice hurried is justice buried,waone wanasheria makini watakusaidia
tusipotoshe umma kwa fikra duni, kila lililo jema halikosi kasoro.
usiwaze suala lako lahitaji umakini kisheria, kusema utasimama pekeako hakika watatumia udhaifu wako kisheria kukushinda, fanya maamuzi busara muda sahihi
 

Chamsingi ambacho hujakieleza hapa ni iwapo kuna amri yeyote ya Mahakama iliyoombwa na kutolewa kukuzuia wewe kuendeleza eneo lako(interim injuction) kama haipo unaweza kuendeleza eneo lako .Muhimu kuzingatia kabla ya yote ni
kuhakikisha unamuona mwanasheria aliyekaribu na sehemu uliyopo iliapitia nyaraka zako pamoja na upande wa pili na atakuwa na nafasi nzuri ya kufanya neutral case analysis na kukushauri ipsavyo kabla ya kuwekeza raslimali zako
 
Hii si kwa wote .Yawezekana ni kwa baadhi ndo wenye kufanya hivi.Tambua kwamba Huduma ya Uwakili inafanyika kwa mujibu wa sheria ya Uwakili.Na Iwapo utapata uthibitisho wa Wwakili wako kwenda kinyume unaweza kumshtaki kwenye Kamati ya Mawakili na akasimamishwa au kuvuliwa uwakili na kukatazwa kufanya huduma hii katika nchi zote za Commonwealth.Usisite kupata ushauri wa Kisheria pale inapobidi kwani ni nafuu zaidi kuliko kujikuta na mgogoro Mahakamani ambapo gharama zinakuwa kubwa na upotevu wa muda.
 

mkuu nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…