Justine Kasusura: Mtanzania aliyefungwa "kwa kupiga pesa ndefu" ktk historia ya Tanzania na kisha kupangua kifungo bila wakili Mahakama ya Rufaa!!

THREE IN ONE ilikuwa ni GUEST HOUSE yetu kipindi KASUSURA anakamatwa pale,haijawahi kuwa HOTEL,pia sababu ya kukamatwa kwake ilikuwa ni wanawake kumgombania na yeye kuanza kujitapa,polisi wala hawakuingia uvunguni ndani ya chumba,story yako ina makosa mengi mengi sana kuhusu KASUSURA,watch it...itakuja kukugharimu mkuu!
 
Wabongo mtaacha argument za kijinga namna hii lini? Tuwaachie watu wenye uwezo kufanya kazi wanazozijua. Unataka mtu anayeandika below level akubalike na asihojiwe kwa sababu mimi siwezi kuandika? Stupid thinking!

We ndo mjinga wa kutupwa, this is not a proffesional article, ni simulizi ya kawaida ya mtu.... usijidai wewe ni mtu smart wakati ni mshamba na limbukeni....kila mtu hawezi kuwa proffesional, jamaa kaandika aimulizi yake nzuri sana tu
 
We ndo mjinga wa kutupwa, this is not a proffesional article, ni simulizi ya kawaida ya mtu.... usijidai wewe ni mtu smart wakati ni mshamba na limbukeni....kila mtu hawezi kuwa proffesional, jamaa kaandika aimulizi yake nzuri sana tu
Mara nyingi macho ya wivu huwa yanaona mapungufu tuu hayaoni mazuri itakavyokua sisi tumefaidika sana na huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaskari wengi walitajirika sana, kuna mmoja mchaga pesa akaawachia ndugu zake yeye akaenda jela

Jr[emoji769]
Mkuu wa kikosi cha kupambana na ujambazi Dar ambaye naye ni mmoja ya waliofukuzwa kazi, pesa ya mgao huo ilimuwehua akili. Siku amekamatwa kwa amri toka juu, wapelelezi walipoenda kwake walikuta nyumba yake ipo bize kwa ukarabati. Yaani kila aina ya fundi kuhusu nyumba alikuwepo akiendelea na section yake.

Very busy renovation in the dunia by then
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Mtoa mada correction. Rufaa ilisikilizwa Dar es Salaam na si Arusha.

Kuhuhu Citi Bank kulipwa hela yake iliyoibwa, ni kuwa kesi ilifunguliwa dhidi ya kampuni ya bima na kampuni ya ulinzi. Bima wanasema hela ziliziibwa na mfanyakazi wa kampumi ya ulinzi waliyemuamini hivyo ni sawa na kuwa ulijiibia mwenyewe. Citibank hoja yao ni kuwa bima yetu ilikuwa ni ya majanga yoote ikiwemo wizi na kuwa benki haipo nyumba ya huo wizi kwani kampuni ya ulinzi ambayo nayo ina bima ndio waliokuwa na mzigo ulipoibwa.

Nimepata hamu ya kuifuatilia kesi hii ilipoishia, kitambo sana. Vingine nimesahau.
 
Kesi iliishaje
 
Jamaa ana wivu wa kike aliousema prof kapuya...

Aandike yeye basi hizo proffesional...
We ndo mjinga wa kutupwa, this is not a proffesional article, ni simulizi ya kawaida ya mtu.... usijidai wewe ni mtu smart wakati ni mshamba na limbukeni....kila mtu hawezi kuwa proffesional, jamaa kaandika aimulizi yake nzuri sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Correction imepokelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…