Justine Kasusura: Mtanzania aliyefungwa "kwa kupiga pesa ndefu" ktk historia ya Tanzania na kisha kupangua kifungo bila wakili Mahakama ya Rufaa!!

Kutojua mimi kuandika HAKUHALALISHI mtu asiyejua kuandika kukubalika. Acha arguments za kibongo bongo!

Mkuu punguza jazba huu ni uzi wa JF sio proffessional article kwenye journal wala sio kitabu hiki. By the way hii ni stori ya miaka 10 iliyopita na sijui hao ma profesheno wako wapi kwanini hawajaiandika..?
 
Mkuu punguza jazba huu ni uzi wa JF sio proffessional article kwenye journal wala sio kitabu hiki. By the way hii ni stori ya miaka 10 iliyopita na sijui hao ma profesheno wako wapi kwanini hawajaiandika..?
Kamaliza BAed UDSM huyo acha aoneshe mbwembwe zake
 
Nasubiri ktabu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasusura daah! Kawaponza mandata wengi kwa tamaa zao! Segera, Tanga mjini jamaa alikuwa anamwaga tu mshiko akikamatwa! Story Ni nyingi Sana ila kinachoelezwa pesa haikuingia hata ktk gari ya knight s,mzigo unapokelewa ukaingizwa ktk gari tofauti hakuna alioonyeshewa bastola,kingine inavyoonekana jamaa alipiga pesa bila kujua mipango ya mbeleni,ni Kama mtu flani aliojaribu nafasi akakipata bila kutegemea Sasa hajui afanye Nini! Siwezi kuisahau story ya kasusura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ni kivutio tosha cha utalii tukimtumia vizuri anaweza akalitambukisha Taifa vyema zaidi ya Pierre... Dola million 2 unakamatwa na vilaki kah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana ila inaonesha kasusura alikuwa mbuzi wa kafara tu wenyewe walishakula mpunga wao zamani.
Kasusura hakuwa Mbuzi wavkafara, pesa alipiga yeye ila kwenda na Pesa kwa Urassa ndio kosa lake, madeal makubwa kama haya usicheze na Wachaga, pesa nyingi alibaki nayo huyo mchaga.
 
Kabla hajaandika hukuwa na cha kukosoa alipoandika ndipo uwezo wako wa kuona makosa ukatukea huoni kuwa unatatizo la kuona mbali yaani huna uwezo wa ku creat ila wewe ni ku modify tu. Kimsingi huwezi kuandika chochote.
Kama unabisha .jifanye kama unajikuna utupe hata ya akina Uncle Tom
Wabongo mtaacha argument za kijinga namna hii lini? Tuwaachie watu wenye uwezo kufanya kazi wanazozijua. Unataka mtu anayeandika below level akubalike na asihojiwe kwa sababu mimi siwezi kuandika? Stupid thinking!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hvyo mbunye, ulevi ndio vilimponza Sterling almando kasusura?? Ukute alikula bata sana akasahau kwamba yuko wanted
 
Hahah mkuu historian nzuri sana hii ila pia nimependa uandishi wako,yote kwa yote huyu faza alikuwa boya na siyo ajabu aliyemchoma ni muhudumu wa hiyo hotel au nungayembe alilokokotana nalo bar coz kipindi kile ilitangazwa bonus kama sikosei 10Mill {ilikuwa hela nyingi sana wakati huo} pia tukumbuke kipindi hiko pesa yetu ilikuwa na thamani ilikuwa uki-change Tsh1,000/= tumia utakavyotumia hadi jioni kesho unaamka na salio.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Aliandaliwa maneno Yale yote,kunawatu walikuwa nyuma yake ili kufaidi pamoja xilr dollars.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…