Juu ya mwanamke bikira na kupata mimba

jaflex

Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
15
Reaction score
3
Natakuliza shuklan za dhati naomba kuuliza kitaalam mwanamke bikira anaweza kupata mimba iwapo amefanya mapenzi lakini mwanaume akamwaga mbegu kwenye uke bila kumtoa ile bikira yake? Naomba kuwasilisha wadau
 
Natakuliza shuklan za dhati naomba kuuliza kitaalam mwanamke bikira anaweza kupata mimba iwapo amefanya mapenzi lakini mwanaume akamwaga mbegu kwenye uke bila kumtoa ile bikira yake? Naomba kuwasilisha wadau

Habari yako,

Umeuliza swali zuri sana na nitakuambia kwa kifupi tu kuwa mwanamke bikira anaweza kupata ujauzito pasipo hata kuondolewa bikira yake, cases za namna hii hujulikana kama "virgin births".

Je ushawahi kujiuliza mbona mwanamke bikira huwa anatokwa na damu ya hedhi (mind damu ya hedhi hutokea katika tumbo la uzazi)?

Kwa kawaida ukuta wa bikira huwa una tundu moja au zaidi ambalo huruhusu damu ya hedhi kupita, hivyo hata manii huweza kupenya na kusafirisha mbegu kuelekea mji wa mimba.
 
when you think an extra mile (too much) then you come up with a solution or a worse problem
 
Mkuu Watu 8 ameeleza vyema.
Kuongezea; kuna aina tofauti za bikra, na kutofautiana kwa maumbo yake, husababisha extent tofauti ya kuruhusu kiingiacho kwenye mji wa uzazi.
Ndio maana kuna story za bikra ngumu kutoka, wengine kutokujua zimetoka lini na wengine kutopata mimba hata ikagundulika kua bikra ilikua bado 'intact'.

tragedy of the commons
 
watu wa 8 amemaliza na kajibu vizuri swali lako, japo muulizaji umechanganya madesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…