Juventus Special Thread

Sio anaonekana ni Mamluki, ni mamluki kabisa kutoka kuzimu huyu, tuaimuone kwetu mbinguni.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha NA ASHINDWEEEEEE NA ALEGEEEEEE NA ANYONG'ONYEEEE
 
ha ha ha ha ha ha ha ss barca hatupendi mamluki kama juve abaki hukuhuku sababu haiwezekani mkewetu akamsifia mwanaume wa jirani

Si ndo hapo harafu anasema kabisa baada ya Game yetu na Juve, yeye anaingia Game nyingine na Mourinho. Sasa huu si uhuni, amenivunjia heshima kubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…