Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mmeamkaje humu, Wazima nyie!!!???
Nawasalimu tuu.
.....wazima
Barca na Refa wao Juve na washabiki wao...
Mkuu hata mimi carata yangu kwa juve ila shida ni refaa sasa
Leo Niko juve huyo daddy wako Aleyn Ata wakufukuze Barca sawa tu! We njoo juve kwa kibibi kizee!
Duh!! Ai weweeee usinichongee kwa daddy.......leo Mourinho una wageni wengi sana vipi room yako inatosha yupo Ntuzu cute b Mentor herrera Viol Malafyale Ed n Edd nEddy na wengine wengi nusu kama si 3|4 ya CFC na MFC na 99% ya RM inakushangilia wewe.........hapatoshi.......!!!! ZIROtwentytwo leo usikimbilie uvunguni please......
Duh!! Ai weweeee usinichongee kwa daddy.......leo Mourinho una wageni wengi sana vipi room yako inatosha yupo Ntuzu cute b Mentor herrera Viol Malafyale Ed n Edd nEddy na wengine wengi nusu kama si 3|4 ya CFC na MFC na 99% ya RM inakushangilia wewe.........hapatoshi.......!!!! ZIROtwentytwo leo usikimbilie uvunguni please......
ha ha ha ha ha ha ha mtaongea mengi sana
Mkuu yule zombi wa barc leo yawezekana akangata tena kwa jns atakavyokabwa
Ninaiman mtakuwa hamuonekan umu
Zombi Leo anapotea hatoonekana kabisa labda Messi lkn zombi na Neymar watawekwa mifukoni
Duh!! Ai weweeee usinichongee kwa daddy.......leo Mourinho una wageni wengi sana vipi room yako inatosha yupo Ntuzu cute b Mentor herrera Viol Malafyale Ed n Edd nEddy na wengine wengi nusu kama si 3|4 ya CFC na MFC na 99% ya RM inakushangilia wewe.........hapatoshi.......!!!! Ziroseventytwo leo usikimbilie uvunguni please......