Juventus Special Thread

Naangalia game ya Chievo Vs Juventus hapa, namuona ustaadh Anelka kwa bench
 
Mkuu Chomba usiogope sisi tupo na JUVE yetu. Naona unakuja kama RAMBO kwenye First Blood no2. Kila la kheri kwa usajili wa Super Mario.
 
Hail Bianconeri! Hail Allesandro Matri, hail vidal
 
Namuomba Mwenyezi MUNGU ajaalie hawa mastraika waendelee hivi hivi jamani!Celtic uuwii!
 
JUVENTUS


Bu
ffon
Bonucci, Barzagli, Caceres
Pirlo

Lichtsteiner, Marchisio, Vidal, Asamoah
Vucinic, Giovinco

Leo ni siku ya furaha, karibuni nyote celtic park, FORZA JUVENTUS
 
ndugu zangu wa Juve nipo katikati ya Banda la watizama soka naanGalia mecho ya Celtic na Juve yaani leo nisipopigwa basi kweli Nungu atakuwepo Duniani.
Leo Juve na mimi, mimi na Juve.

Forza Juve
 
ndugu zangu wa Juve nipo katikati ya Banda la watizama soka naanGalia mecho ya Celtic na Juve yaani leo nisipopigwa basi kweli Nungu atakuwepo Duniani.
Leo Juve na mimi, mimi na Juve.

Forza Juve

Hahahahahaaa, bora, kuliko kushangilia waingereza wasiojua kandanda.
Celtic 0 - Juventus 3, na bado!
 
ndugu zangu wa Juve nipo katikati ya Banda la watizama soka naanGalia mecho ya Celtic na Juve yaani leo nisipopigwa basi kweli Nungu atakuwepo Duniani.
Leo Juve na mimi, mimi na Juve.

Forza Juve

chomba machozi yananitoka!tumepigika sana hadi leo hii naitazama Juve inavyoichakaza Celtic ugenini!siamini..tumerudi..tumerudi panapotustahili..YEAAAAAAAAAAAH!OUWIII!
 
Uuwii!nasubiri kwa hamu vichwa vya habari vya kesho ndani ya gazetta dello sport,corriere dello sport na tuttosport!
 
Furaha imenijaa hadi usingizi umepotea kabisa. Forza JUVE.
 
Forza bianconeri.... Celtic wakakojoe walale
 
ha ha haa!ngoja na mimi nijaribu ya milan!naamini ntatoka salama pia!


ndugu yangu mi Italy adui yangu ni Inter tu...
Hawa akina Napoli na Juve ntapambana nao kwenye ligi tu...lakini nje ya hapo ni Cuzin zangu
 
Forza bianconeri.... Celtic wakakojoe walale


Ulikuwa wapi Viper?
au wewe ni juve wa Mechi?
Siku zote napambana na akina Mourinho, Bologna na Juve mwenyewe...
Ukizingatia wewe ndo muanzilishi wa thread?
 
Ulikuwa wapi Viper?
au wewe ni juve wa Mechi?
Siku zote napambana na akina Mourinho, Bologna na Juve mwenyewe...
Ukizingatia wewe ndo muanzilishi wa thread?

Kaka yangu chomba nipo bana shem wenu Kaja kutoka Montreal yupo likizo ya majira ya Baridi huku , basi Jf huwa nachungulia kwenye matukio muhimu inshaAllah shekh mwisho wa.mwezi ntarudisha. Majeshi ...

Alafu unakhabari nimelelewa abuja na kukulia sinza stars..???

Wakushi walinifundisha maisha Kipindi nasoma mashujaa pale, akini moyoni nilikuwa sinza stars damu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…