Juventus Special Thread

Jukwaa lipo, sema nimemkumbuka sana gang chomba. Juz Kati nimeamka asubuhi nikawa naangalia game ya golden state NBA nikamkuta jukwaa la kikapu anamuongelea Kobe Bryant.
 
Sema nimefurah kumwona rugani anapewa mechi moja moja kucheza.forza bianconeri.
 
Mabruuda mpoooo? Heri ya Mwaka mpya mmepoa kama hakuna watu humu, Hongereni naona mambo yenu si haba mdogo mdogo mnakaribia juu
 
S.S Napoli wamechukuwa driving seat baada ya inter kudondokea pua kwa sassuollo. Napoli ambao walikuwa kwenye kiwango bora kabisa walipata ushindi mnono wa mabao 5-1. Huku Gonzala Higuein akitia mawili... Juve nao wamepata nafasi ya ukonda kwa ushindi mwembamba wa 2-1.
 
Juve juveni. Kuhusu ubingwa serie a sina hofu. Hapa nawaza ushindi tu dhidi ya munich mwezi ujao.
 

Eti Juve tumekua makonda

Hii scudeto hata sina hamu nayo maana sipendi style ya bundesliga au Scottish league ije na huku lakini naona hakuna namna tena
 
Hongereni mabruda kwa kijana wenu Pogba.....
 

Attachments

  • 1452541788884.jpg
    18.7 KB · Views: 22
072 nawaona mmejipanga sana safari hii, doh hata nimesahau nilichotaka kusma baada ya kushuhudia a wonderful free kick ya dogo Dybala
 
Dybala kiwango safi kabisa. Magoli yote manne amehusika
 
Aah game yenu siangalii. Naangalia ndondo man vs liver....huu msimu tupo vizuri. Ila ni kwa sababu nyie mlianza vibaya. Tunawapa presha ila scudetto ni lenu.
 
Aah game yenu siangalii. Naangalia ndondo man vs liver....huu msimu tupo vizuri. Ila ni kwa sababu nyie mlianza vibaya. Tunawapa presha ila scudetto ni lenu.

Siwezi angalia mpira mbovu kama huo, kelele nyiingi halafu match yenyewe bora niangalie Lipuli Vs Stand Utd
Mtajipa presha wenyewe, kina Higuan na Hamsik majino nje, wanajua mwaka wao huu, Mancini kashaanza kutafuta mchawi
 
Kweli kaka, inter na viola naona pumzi zimewaishia. vp dirisha hili la january hamfanyi usajili? Sijasikia hata tetesi.
 
Kweli kaka, inter na viola naona pumzi zimewaishia. vp dirisha hili la january hamfanyi usajili? Sijasikia hata tetesi.
Kwanza pole, we si mshabiki wa Loserfool?
Bana kwa kweli tuko kimya, sipendi usajiri wa january ila kiungo yetu inahitaji msaada kidogo, labla khedira arudie form yake la sivyo gap la Vidal lipo sana, pale mbele Dybala katusahaulisha kiasi mbengumbengu za Tevez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…