D.alves leo kamubana kupaki Neymar,halaf ni mwepesi sana huyu Messi
sema leo Neymar ako off
mzee wa updates leo uko wap?Juve 2-0 Barcelona
hahahaaD.alves leo kamubana kupaki Neymar,
Kwanza muangalia alivyovyaa kachomekea jezi Safi kabisa hahaha huwa sikawaida yake!! Alves.
hahahaaMara hii dakika 45' zimekatika,hii mechi ya leo ni taaamu
Wakimutwaa watakwenda kumumaliza/kumshusha hawa hahaha!!!!!hahaha
halafu niliskia wana taka kumnunua labda ndio ana wapangia bei
[emoji2]
Hamchekei hata kidogo,hahahaa
kweli Alves ana onekana amekuja kwa kazi maalum [emoji28]
[emoji28]Wakimutwaa watakwenda kumumaliza/kumshusha hawa hahaha!!!!!
hahahaaHamchekei hata kidogo,
U-Brazil huko huko hapa ni Uropa!!
Teh teh...na mimacho yake kama ya Paka.