i love Juventus FCKuna kikosi cha mwishoni mwa miakaya 1990s kikijumuisha
Angelo Peruzzi
Alesandro Del Piero
Philipo Inzaghi - Pipo
Gianluca Viali
Fabrizio Ravanelli
Christian Vieri
Vladmir Jugovic
Attilio Lombardo
Didier Deschamps
Nicola Amaruso
hili timu lilikuwa ni Noumer nilili[enda mpaka basi Mambo Yalikuwa DTV Live
Hichi Kikosi kilikuwa ni NoumerBila kuwasahau Zinnedine Zidane na Ciro Ferrara,
Mkuu viper nimeona tulivyofanya leo. Gang chomba naona lazio wanamuendesha kweli. Ngoja niendelee kumpa tafu kuangalia game yake.
kushinei kwa sasa milan maana still wanainvest sijui returns itakuwa lini..
Tumepigwa mkuu. Ila mechi
ilikua Open kabisa tangu kipindi cha kwanza. Yan nilivyoona juve
wanakosa magoli kipindi cha kwanza nikajua Inter hawatapoteza mechi hii.
Na imekua kweli. Juve ndio wa kujutia mechi hii. Yan Gang Chomba
nimemshangaa kocha kumwingiza Bendtner mapema tu then akamwacha mtu kama
Quagliarera. Quagliarera ilibidi aingie baada ya vucinic kuumia. Then
wangempunguza kiungo mmoja na kuingia POGBA. Daiiiiim.