Marchisiooooooo!
Aaah!mtoto mtundu Po po po Pogba namuona kwa mbaali anajiandaa!
Shikamoo Pirlo
Shifta sielewi hadi leo kwa nini mlimuachia Pirlo?
Mkuu hebu tupia mistari ya huo wimbo unaimbwa kwa fujo zote hapo uwanjani
allegri alikuja kuiua Milan
Huyu babu ananikosha sana..Pogba Ana mengi ya kijifunza kama anataka kuboresha kiwango chake zaidi...
Sevilla 4 Porto 0,Valencia 3 Basel 0
Pogba u-much know mwingi, anaona kashakuwa star, hata akitembea utafikiri ana majibu makalioni.
Pesa inaharibu watoto, kina Pirlo wametengeneza pesa kwa miaka mingi wakicheza tena bila kuvimba kichwa, vizazi vya sasa vya kuvaa suruali huku makalio yote yako nje wanakua matajiri kabla hata hawajacheza huo mpira, unashangaa vitoto vipuuzi tu kama Neymar vina ukwasi wa ajabu kwa kazi ya kujiangushaangusha tu uwanjani.
Unawa-motivate vipi hawa kina Pogba, labla kwa kuwaahidi pesa kama za Rooney ili wakazidi kuonesha makalio yao huko Instagram
Ngoja tusishangilie sana manake hawa Juve hawaeleweki!wasije kubweteka tena!
Pogba u-much know mwingi, anaona kashakuwa star, hata akitembea utafikiri ana majibu makalioni.
Pesa inaharibu watoto, kina Pirlo wametengeneza pesa kwa miaka mingi wakicheza tena bila kuvimba kichwa, vizazi vya sasa vya kuvaa suruali huku makalio yote yako nje wanakua matajiri kabla hata hawajacheza huo mpira, unashangaa vitoto vipuuzi tu kama Neymar vina ukwasi wa ajabu kwa kazi ya kujiangushaangusha tu uwanjani.
Unawa-motivate vipi hawa kina Pogba, labla kwa kuwaahidi pesa kama za Rooney ili wakazidi kuonesha makalio yao huko Instagram
yaani mkuu umeongea point kubwa sanaa!hili ni tatizo linaua vipaji vingi sana leo hii kila mahali si soka tu!