[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kha jamaniAmekuwa kama bango la halotel[emoji23][emoji23][emoji23]
Jux anapenda.Atakuwa kamwagikiwa na maganda ya carrot huyo, sipendagi hio mirangirangi ya kichwa sijui wapoje hawa dada zetu.
Hii nyonyo mbona kama imelala sana au ubibi bomba unamnyemelea
[emoji23][emoji23][emoji23] we mkorofiHuyo Vanessa kaangukiwa na kopo la rangi kichwani?
Mbona amekuwa kituko hivyo?