DANFORD PIUS HAMISI
Member
- Sep 2, 2014
- 52
- 4
Mwanamziki wa kitanzania aitwaye Juma Mpolopoto maarufu kwa jina la Jux amesema kuwa baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimdhania tofauti na alivyo huku wakidhani kuwa anaimba mziki kwa ajili ya kujifurahisha na sio kama wasanii.
Pia ni msanii anayejipenda na anaopangilia mavazi kuliko wasanii wote na kwa sasa anapanga aanze kujitambulisha kwa mashabiki rasmi.
Pia ni msanii anayejipenda na anaopangilia mavazi kuliko wasanii wote na kwa sasa anapanga aanze kujitambulisha kwa mashabiki rasmi.