alafu anajisifu kabisa,kuoa hataki binti akiolewa anaenda kuharibu ndoa ya watuDuuh mkuu... Kama huna mpango w kumuoa huyo Dada mwache aolew na usijisifu kumdinyia mwanamme mwenzako...karma is not a liar ..she keeps receipts
Yaan kuna watu wanashangaza sana ...sjui anawaza kw kutumia kiungo gani cha mwili!alafu anajisifu kabisa,kuoa hataki binti akiolewa anaenda kuharibu ndoa ya watu
na yeye atazaa mkuu,malipo hapa hapaYaan kuna watu wanashangaza sana ...sjui anawaza kw kutumia kiungo gani cha mwili!
Kabisa malipo yapo hapahapa...na yeye atazaa mkuu,malipo hapa hapa
Sasa Jux aache mapenzi ya KISELA akiachwa tena asianze kulialia kama mtoto.Jux anajua kubembeleza na kuomba msamaa mpaka mtoto kanyanyua mikono juu
Mi kipindi sijafikia kuwa na mke,nilikuwa nikiwa na demu alafu nikasikia anataka kuolewa au anaolewa,nilikuwa nafurahi sana maana kukaa na mtoto wa watu muda mrefu na wakati uwezekano wa kumuoa huna,unajiwekea lawama nyingi sana kwenye jamii na maisha yako,laiti tungekuwa tunajua ,tungekuwa tunawashukuru wanaotusaidia kuwaoaKabisa malipo yapo hapahapa...
hahahaha wapi nimesema sitaki kuoa, mambo hayakaaa poa jamaa kaja na gia ya kuoa nimempa binti go aheadalafu anajisifu kabisa,kuoa hataki binti akiolewa anaenda kuharibu ndoa ya watu
kila la kheri mkuuhahahaha wapi nimesema sitaki kuoa, mambo hayakaaa poa jamaa kaja na gia ya kuoa nimempa binti go ahead
ila akioa ajue kaoa goma langu (maana anajua mahusiano yetu) na nimesema alimwambia nikikuoa umwache zipompa.
Na atalipa gharama za ku ova teki fuso,mtoto wa kwanza juu chini atalea bao langu.
nyie jamaa mnanichekesha asa mnasikitika nini? haya mambo ndo yanafanya dunia iende asa mi bila kumgongea huyu bwana ile takwimu ya 49% mtaipata wapi?Kabisa malipo yapo hapahapa...
Hili lipo wazi.Tatizo Jux wenyewe hajui kuimba analazimisha fani tu.
Sana mwanamke anahitaji kubembelezwa na kudekezwa
Sawa mkuu umesomekanyie jamaa mnanichekesha asa mnasikitika nini? haya mambo ndo yanafanya dunia iende asa mi bila kumgongea huyu bwana ile takwimu ya 49% mtaipata wapi?
sie ndo tunawapa watu bila sie kampeni ya baki njia kuu mchepuko sio dili itakuwa haina maana.
wacha tufanye maisha yaende wakuu, tuombeane kheri
Hata mimi nimefurahi mkuu ila furaha itazidi baada ya kumchapia jamaa (maana yeye sasa hivi anafuraha kwa kuona ameniweza). kumbe mie namlia taimingi nimpe 49% atalia kama nyau ngoja tu.Mi kipindi sijafikia kuwa na mke,nilikuwa nikiwa na demu alafu nikasikia anataka kuolewa au anaolewa,nilikuwa nafurahi sana maana kukaa na mtoto wa watu muda mrefu na wakati uwezekano wa kumuoa huna,unajiwekea lawama nyingi sana kwenye jamii na maisha yako,laiti tungekuwa tunajua ,tungekuwa tunawashukuru wanaotusaidia kuwaoa
shukrani mkuu, haya ndo maisha sasakila la kheri mkuu
Nyie mashabiki wa Madale huwa mnachuki sanaTatizo Jux wenyewe hajui kuimba analazimisha fani tu.
Nyie mashabiki wa Madale huwa mnachuki sana