STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,076 Reaction score 17,247 Mar 9, 2017 #21 Hawafanani
yajutu JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 951 Reaction score 1,206 Mar 9, 2017 #22 Hance Mtanashati said: Hawafanani hata robo Click to expand... Mkuu nakushauri kapimwe macho sio bure
Hance Mtanashati said: Hawafanani hata robo Click to expand... Mkuu nakushauri kapimwe macho sio bure
yajutu JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 951 Reaction score 1,206 Mar 9, 2017 #23 Rwankomezi said: Sasa atafte kiki gani?....kutoboa ni kipaji mkuu sio kufanana na mtu.....kuna jamaa hapa mtaani kwetu misuri kama Rambo sema wadau wanampumulia. Click to expand... Aaaah siwezi kupumulia mwanaume mwenye misuli kama Rambo bora James delicious ana muonekano wa kidemu
Rwankomezi said: Sasa atafte kiki gani?....kutoboa ni kipaji mkuu sio kufanana na mtu.....kuna jamaa hapa mtaani kwetu misuri kama Rambo sema wadau wanampumulia. Click to expand... Aaaah siwezi kupumulia mwanaume mwenye misuli kama Rambo bora James delicious ana muonekano wa kidemu
Simara JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 7,512 Reaction score 23,925 Mar 9, 2017 #24 Mimi mbona naona hawafanani hata kidogo, au mtoa mada ndiyo mwenye picha umeamua kuja kutafuta kiki??
Mimi mbona naona hawafanani hata kidogo, au mtoa mada ndiyo mwenye picha umeamua kuja kutafuta kiki??
R Rwankomezi JF-Expert Member Joined Sep 5, 2013 Posts 3,285 Reaction score 2,636 Mar 9, 2017 #25 yajutu said: Aaaah siwezi kupumulia mwanaume mwenye misuli kama Rambo bora James delicious ana muonekano wa kidemu Click to expand... Ndo ujue kuwa kufanana sura sio roho au akili.
yajutu said: Aaaah siwezi kupumulia mwanaume mwenye misuli kama Rambo bora James delicious ana muonekano wa kidemu Click to expand... Ndo ujue kuwa kufanana sura sio roho au akili.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Mar 9, 2017 #26 Mwenye picha ya Le mutuz Rappa aiweke.