Jux Vuitton VS Diamond Platnumz: Nani anatupia pamba kali zinazoendana na body yake?

cape town

Member
Joined
May 28, 2013
Posts
40
Reaction score
42
Wakuu hawa jamaa ni wakali wa muziki hapa kwetu Tanzania. Hawa jamaa pia ni wakali wa kutupia pamba kali zinazowapendeza. Wewe binafsi kura yako utampa nani kati ya Jux Vuitton na Diamond Platnumz kwenye kutupia pamba kali?
 
Nenda shule kijana, acha kupoteza muda wako bure.
 
We vipi yan unataka cc tuanze kufikiria kama wewe kwamva nani anatupia??,kafanye kaz wewewe
 
ingetakiwa kuwe na strict age limit kwenye hii forum.

oooh!! nimesahau, kuna watu wazima ambao akili zao bado zipo nursery school.

inawezekana kabisa huyu jamaa ni mtu mwenye familia yake kabisa..
 
Subiri mwenzako wa zao la mlugo 2010 aje akujibu anaitwa Heven of desert
 
hizi ni zile suruali za kina dada za kubana hips,mtoto wa kiume unabana hips,flaiz inch3 badala ya 6 sijui huwa wanakojoa vip mkienda msalani,au nanyi mnachutama.
 
jux




































Dimondi





[FONT='lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif][/FONT]​
 
Hadithi hii inatufundsha nn?
wanaume wavae surual za green na njano??
Go to hell...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…